Kutoka U S A mpaka Bongo |
Moja wa wakilishi wa cloudsmedia akiwapokea |
Huyu ndie Jason Geter meneja wa T I |
Jason Geter mbele ya camera ya clouds media group kwajili ya interview |
Baada ya Mapokezi moja walee |
Nifuraha kubwa kwa wapenda burudani wote nchini na n'je ya nchi kwa ujio wa meneger wa Msanii mkubwa wakimataifa T I kuwasili katika aridhi ya Tanzania kupitia uwanja wa ndege wa Taifa wa Mwalimu Julius Nyerere,furahiyo nikwasababu huu ni usibitisho wa msanii huyo wa kimataifa kuja kwajili ya Serengeti Fiesta 2014 Dar es salaam jumamosi hii 18 oct 2014 pale pale ledears club.
Picha:Eli Ulomi/Djfettytz.com Twitter: MatrixRap
Facebook Fans Page: MatrixRap
Google Plus: MatrixRap
This post first appeared on Its All About Hip Hop Music & Culture, please read the originial post: here