AY amekamilisha kushoot video na msanii wa Marekani, Sean Kingston. Video hiyo imefanyika nchini humo.
AY amesema baada ya video hiyo huenda akafanya nyingine tena.
“Shooting ilienda vizuri tulifanya fresh yaani kila kitu kilienda vizuri kabisa. Hakuna ugumu wowote akina Trinity akina Sean Kingston, kuna jamaa wa New Boys jamaa fulani wanahit huku, kuna video wamefanya na jamaa fulani ina view milioni 32, so ni jamaa wakubwa huku nao pia walikuja wakashow love pale,” AY ameiambia Bongo5.
Ms Triniti, AY na Sean Kingston
“Kuna actor mmoja mzungu naye pia alishow love, kwahiyo natarajia itakuwa bonge la video,” ameongeza.
“Kingine kwa Sasa Hivi nataka kufanya recording nyingine na artist wengine ambao sitakiwi kuwaweka wazi sasa hivi. La msingi ninaendelea kufanya kazi huku na ninaweza nikashoot na video nyinge tena halafu ndo nirudi Tanzania.”
Hizi ni picha zingine za AY akishoot video hiyo.
Related Articles
Twitter: MatrixRap
Facebook Fans Page: MatrixRap
Google Plus: MatrixRap
This post first appeared on Its All About Hip Hop Music & Culture, please read the originial post: here