Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

IHEFU FC YAICHAKAZA YANGA.....YAIDUNGUA 2-1



Timu ya Yanga Sc imepokea Kichapo Cha Goli 2 - 1 kutoka kwa Ihefu Fc.

Mchezo huo umepigwa leo Oktoba 4, 2023 katika uwanja wa Ubaruku ulioko Mbalali jijini Mbeya.

Ambapo katika mchezo huo uliomalizika kwa dakika 90 na kuwaacha mashabiki wa timu ya Yanga sc midomo wazi wakishuhudia timu yao ikipoteza kwa kichapo cha Goli 2 dhidi ya Ihefu Fc.

Goli la kwanza likifungwa na Professor Pacom Dakika ya 3 huku magoli ya Ihefu Fc yakifungwa na wachezaji Kisu Dakika ya 40 na goli la pili likifungwa na Ilanifya dakika ya 67 ya mchezo.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

IHEFU FC YAICHAKAZA YANGA.....YAIDUNGUA 2-1

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×