Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

USHIRIKISHWAJI WA TAASISI ZA UMMA KATIKA KUANDAA VIWANGO NA MIONGOZO YA E-GA



Maafisa TEHAMA kutoka Katika taasisi mbalimbali za umma wameshiriki katika kikao kazi cha kuandaa na  Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao, ili kuhakikisha inaendana na Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10 ya mwaka 2019.  

Lengo ni kuhakikisha Serikali inakua na Serikali mtandao yenye tija na inayoongeza ufanisa katika utendaji kazi na utoaji huduma kwa umma.

Kikao hicho kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), kilifanyika kwa siku 3 kuanzia Agosti 15, 2023 katika ukumbi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijijini Dodoma.

Viwango na Miongozo hiyo inapatikana katika Tovuti ya e-GA kupitia kiungohttps://www.ega.go.tz/standards



This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

USHIRIKISHWAJI WA TAASISI ZA UMMA KATIKA KUANDAA VIWANGO NA MIONGOZO YA E-GA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×