Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

MKAZI WA DAR-ES-SALAAM AJISHINDIA MILIONI 14 NA MERIDIANBET

Kama ilivyo kauli mbiu “CHAGUA TUKUPE” sasa watu wamechagua na wamepewa kwani Mkazi mmoja kutoka jijini Dar-es-salaam ameweza kujishisdia kiasi cha milioni 14 baada ya kubashiri na kampuni ya kibabe na inayotoa ODDS KUBWA na bomba kabisa nchini Tanzania.

Mteja huyo alifanikiwa kuchagua timu saba kutoka nchi mbalimbali na kuweka kiasi cha shilingi 25000 za kitanzania na kupata jumla ya ODDS 626 na kupelekea kushinda kiasi hicho cha pesa kutoka kwa wataalamu wa Michezo ya kubashiri.

Ligi mbalimbali zinakaribia kurejea barani ulaya ni wakati wako sasa wewe mteja wa Meridianbet kujiandaa na msimu mpya wa ligi ambapo Tumekuandalia huduma bomba zaidi na ODDS za kibabe kabisa ambapo unaweza kubashiri kupitia tovuti zetu za mitandanoni na kwenye simu za kitochi kwa kupiga *149*10#

Wataalamu hao wa michezo ya kubashiri wanaendelea Kutoa Washindi Kila siku kupitia michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, lakini vilevile Kasino mitandaoni ambapo watu wanajishidia mikwanja tu kwakua wanatoa ODDS nzuri kuliko sehemu yeyote.

Hii inaendelea kuonesha namna gani kampuni ya Meridianbet inaendelea kuonesha sio wababaishaji kwani inaendelea kutoa washindi kila kukicha na leo hii Mkazi wa Dar-es-salaam ameweza kujishindia kitita cha milioni 14 baada ya kubashiri na wataalamu wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania.


Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. Jisajili kupitia link hii

 

Unataka kucheza kasino ya mtandaoni? Basi nenda Meridianbet wana michezo mingi sana ambayo ni rahisi kwako kushinda kama Aviator kwa dau la shilingi 200/= tu basi unaweza kuwa Milionea, Poker, Roullete, Piggy Party na mingine ambayo ni rahisi sana na pesa yake ni ya chap chap hakuna kusema unasubiri wiki au siku iishe.

Pia Meridianbet imeleta mchongo wa  hela kila siku. Kuna hii bonasi ya ukaribisho kwa wateja wapya wote wanapata Tsh 25,000/= ya kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Ingia mchezoni www.meridianbet.co.tz

Unachelewa wapi kujiunga na Meridianbet upate bonasi kubwa kama hiyo uitumie kucheza michezo ya kasino ambayo inayotolewa na Meridianbet na uipendayo wewe mteja wao. Jiunge sasa na Mabingwa ujiweke kwenye nafasi ya ushindi.

 

 

Usikose kucheza Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette, Piggy Party, Pia Premium ambayo hiyo yote itakuwa karibu nawe wakati ligi zikiwa zimeisha na wewe utaweza kujipigia pesa huko.




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

MKAZI WA DAR-ES-SALAAM AJISHINDIA MILIONI 14 NA MERIDIANBET

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×