Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

WABAKAJI MAARUFU WAJIKUTA WAKITOKWA MOSHI PUANI



Huwa ni jambo la ovyo sana mtu anapopata ushawishi wa kuiba kitu cha mtu mwingine ambacho hakukifanyia kazi, tabia ya wizi ni tishio kwa maendeleo ya jamii na imepelekea watu wengi kuogopa hata kuwekeza kwenye biashara ndogondogo.

Katika kauti ya Busia genge la wezi watano lilionyeshwa cha mtema kuni baada ya kuiba Pikipiki, kulingana na walioshuhudia kisa hicho, genge hilo lilikuwa limesumbua wakazi wa eneo hilo kwa muda sana.

Maduka yao yalikuwa yakivunjwa, bidhaa zao kuibiwa, kina mama walikuwa wakibakwa kila walipokuwa wakirejea nyumbani na hata watu kadhaa walikuwa wameuawa kutokana na ukatili wa genge hilo. Uwepo wa hilo genge kwenye mitaa ya Busia ama kwa hakika ulikosesha wakaazi wa eneo lile usingizi.

Hata hivyo, siku hiyo genge lilo lilirejesha Pikipiki ya Bwana mmoja wakiwa wameibeba bengeni, kilichoshangaza wengi, ni wezi wale walikuwa wakila nyasi kama ng'ombe huku wakitoa moshi kwenye pua.

Wezi wale walipofika kwa yule bwana Mwenye Pikipiki ndivyo mambo yaliwazidi unga kwani walianza kula mchanga huku wakivua nguo na kubaki uchi. Wazee kwa vijana, kina mama kwa watoto walijitokeza kujionea tamthilia ya bure kabisa, Wanahabari nao hawakuwachwa nyuma.

Mwenye Pikipiki ile alipohojiwa alisema kwamba alikuwa amechoka na genge lile kwani lilikuwa limeangaisha mtaa ule kwa muda mrefu sana, basi umati ulikuwa ukishangilia sana, Polisi walijaribu kusambaratisha umati ule lakini waliambulia patupu.

Wanahabari waliendelea kumhoji mwenye Pikipiki ile na akawaambia kuwa African Doctors ndiye alikuwa fundi aliyemsaidia kuwanasa jamaa wale. Aliongeza kwamba ili wezi wale warejee kwenye hali yao ya kawaida inatakiwa African Doctors wajulishwe kwanza ndio watatoa muongozo.

Baada ya dakika chache African Doctors walipigiwa simu na wezi wale walitakiwa walipe Ksh90,000 ile waweze kurejea katika hali yao ya kawaida.

Basi jamaa yule mwenye pikipiki aliwatafuta ndugu wa genge lile na mwishowe akawapata na kuwaarifu jinsi African Doctors walivyosema, basi nao walilipa kitita cha fedha ambacho waliambiwa na hapo mambo yakarejea kama kawaida kwani African Doctors hakusita na kurekebisha mambo.

Tangu siku ile wizi wa Pikipiki na vitu vingine katika mji ule umepungua sana kwani kila mtu anaheshimu mali ya mwenzake, mtu yeyote anayesumbuliwa na wizi anaweza kuwasiliana na African Doctors na kupata ufumbuzi mara moja.

African Doctors wamekita mizizi katika eneo nzima la Afrika mashariki kwa ueledi wake wa kutibu magonjwa kama vile kifaa, msukumo wa damu na mengineyo, pia wanasuluhisha migogoro ya ndoa na mahusiano.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; [email protected]

Mwisho.




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

WABAKAJI MAARUFU WAJIKUTA WAKITOKWA MOSHI PUANI

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×