Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

NDUGU ZANGU WARUDISHA MIRATHI NA KUOMBA MSAMAHA

Mafundisho ya wazazi juu ya upendo wa wengine yaliingia vizuri nikafanya upendo Kuwa kitu kikubwa sana juu ya vyote nilivyo navyo. Alfajiri ya Jumamosi nikiwa safarini kuelekea kwa wazazi walezi walionisimamia ubatizo nikapokea ujumbe rudi nyumbani tunakuhitaji.

Haikuwa kitu cha kawaida kwani sikuzoea kuandikiwa ujumbe isipokuwa kupokea simu na mazungumzo ya moja kwa moja mara zote inapotokea shida yoyote ile.

Nilishtuka nikateremka kwenye gari nikatoa taarifa ya kuahirisha safari na taratibu za kurudishwa nauli zangu zilianza, nilipojaribu kupiga simu za wazazi zilipokelewa na vilio kisha zikakatwa bila ya upande wa pili kutoa majibu yoyote. Nilifanya ivyo zaidi ya mara tatu lakini ilikuwa ni hali upande wangu na vilio upande wapili. Nikagundua kuna shida na tayari akili Yangu ikabadilika papohapo.


Mara baada ya kufika nyumbani zilikuwa ni taarifa za msiba mama na baba wamefariki wakiwa shambani kwa kuangukiwa na miti ya radi.Nililipokea likaniumiza lakini sikuwa na la kufanya tuliwazika tukalia msiba ukaisha.

Siku ya tatu baada ya msiba nilishangaa kuona kila aliyekuwa ndugu wa baba na mama wakigawana mali na mimi kama kaka mkubwa wa familia yetu waliniacha bila lolote na hawakutaka nishiriki chochote katika vikao vyao wakidai kuwa hizo zilikuwa mali zao walilzorithishwa na baba yao yaani Babu Yangu.


Kwa upendo nilio kuwa nao na jinsi nilivyo funzwa na wazazi wangu majirani walinionea huruma haikusaidia kwa kuwa tayari mali zote zilikwisha toweka nyumbani.Tuliishi katika hali ngumu sana tukifuatilia taratibu za mirathi mahakamani bila ya kupewa msaada wowote.

Miezi saba baada ya kusikilizwa kwa kesi yangu mahakamani mara mbili bila ya kushinda sasa mama yangu wa ubatizo alifunga safari akaja kunitembelea na kuniambia mwanangu nitakupa msaada ambao nitaomba uuamini na uufanye kwa makini.

Alinipa nambari za whatsapp +243 990 627 777 za daktar.Mazungumzo tukafanya kiundani nikamtafuta katika tovuti zake https://bakongwadoctors.com/.Akaniahidi ndani ya muda mchache kila jambo litakuwa sawa kama nitafuata maelekezo yake.

Alinitumia dawa na kisha nikazipokea katika dawa hizo kulikuwamo na kibandiko chenye maelekezo ya matumizi sahihi ya dawa ambayo daktari alisisitiza sana niyafuate kikamilifu.

Nikatumia dawa nikawa sawa ndani ya masaa machache wanafamilia walianza kunipigia simu wakitaka kurudisha mali kwani hazikuwa zikiwahusu walisema kuwa zilikuwa chini ya uangalizi wangu kwani zilikuwa ni halali kutoka kwa babu yangu hakika nasema asante sana kwa daktari BAKONGWA.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

NDUGU ZANGU WARUDISHA MIRATHI NA KUOMBA MSAMAHA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×