Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

SERIKALI YA ANZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI NDANI YA JIMBO LA KWELA





Serikali imeanza utekelezaji wa Miradi ya Maji ya Mkunda group,Kaoze group pamoja na Ilemba ambayo inatarajiwa kukamilika katika Mwaka wa fedha 2023/2024.


Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maji Meryprisca Mahundi Juni 6/2023 wakati akijibu Maswali ya Mbunge wa jimbo la kwela Deus Sangu aliyetaka kujua "Je, lini Serikali itapeleka fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji katika maeneo ya Mkunda Kaengesa, Kaoze Group na Ilemba"


Mahundi amesema wizara imeshajipanga kwa Mwaka ujao wa fedha kwenda kutekeleza ili kuwaondolea adha wanayoipata wananchi


"Laela na Mpui Miradi wa Mau unaendelea kufanya kazi kwa maana ya taratibu zinaendelea kukamilishwa, na tayari kwa pale Laela utaratibu umekamilika na mwezi huu juni mwishoni tutaanza kutekeleza", amesema Naibu Waziri Mahundi.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

SERIKALI YA ANZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI NDANI YA JIMBO LA KWELA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×