Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

SASA NAPELEKA MOTO HATARI BAADA YA KUACHWA NA WAKE WAWILI

Mimi ni mwanaume ambaye naheshimu na kumjali mwanamke yoyote katika dunia hii, naheshimu sana jinsia ya kike kwa sababu Baba Yangu mzazi alimuacha Mama yangu nikiwa bado mdogo kabisa, Mama yangu alijitahidi kadiri awezavyo kunitunza. 

Mwaka 2015 nilipata mke, kutokana na malezi ambayo nilipata kwa Mama yangu mzazi nilimuheshimu, kumpenda na kumjali Mke Wangu. Nilifanya kila kitu niwezacho kwa ajili ya kumfurahisha mke wangu ila hayo yote yakawa bure kwani mwaka 2016 aliniacha bila sababu yoyote.

Haikuchukua muda nilipata mwanamke mwingine kutoka mkoa wa Mara, pia nilimpenda mke wangu wa pili kadiri niwezavyo hadi ilifikia hatua mke wangu ananikosea nashindwa kusema kisa naogopa aibu endapo akiondoka kama mke wangu wa kwanza.

Maisha yaliendelea pole pole ila baada ya miezi sita mke wangu akaanza tabia ya kutoka nje ya ndoa jambo ambalo liliniumiza sana kama mume wake.

Nilimkalisha chini na kumuuliza kitu gani amekosa kwangu hadi anaanza kutembea na wanaume nje na kunivunjia heshima, ndipo kwa kinywa chake akasema kuwa kitandani sijiwezi, hivyo mwili wake kuna kitu unakosa ndio maana yeye analala na wanaume wengine nje.

Moyo wangu uliumia sana ila sikuweza kukataa kwa sababu kuna muda hata mimi nilikuwa nahitaji kumridhisha ila uwezo wa mashine yangu kukaa uwanjani muda mrefu ulikuwa ni mdogo.

Nilikuwa najikuta kwa wiki naweza kuwa uwanjani mara mbili na kupiga bao mbili tu, zaidi nilimuomba mke wangu anivumilie, lakini mke wangu kipenzi alifikia hatua ya kuondoka japo niliweza kupata mtoto moja kutoka kwake.

Kwa kuwa nilikuwa nimeisha pata mtoto kutoka kwa mke wangu wa pili hivyo sikuwa na mawazo ya kutafuta mwanamke mwingine zaidi ya kumuhudumia mtoto wangu.

Maisha yangu yaliendelea vizuri ila kila siku moyo wangu ulikuwa unaniuma sana haswa nilipokuwa naalikwa katika sherehe tofauti na kadi yangu inakuja imeandikwa kuwa nahitajika na mke wangu.

Kutokana na heshima niliyokuwa nayo katika jamii na kazini kwangu, kitendo cha kutokuwa na mwanamke ni jambo ambalo lilikuwa la kushangaza.

Siku moja nikiwa natoka ofisini na rafiki yangu mmoja nilimueleza kinachosababisha wanawake kuniacha, ndipo akaniambia kuwa kuna mtaalamu ambaye anamfahamu anaweza nisaidia ila yupo nchi jirani ya Kenya. Niliomba mawasiliano ya African Doctors na kuwasiliana naye.

Kwa haraka sana niliweza kuongea na African Doctors kisha nikamuomba kufika ofisini kwake, alipangia siku ambayo naweza kumuona, siku ilipofika niliweza kufika ofisini kwake kisha nikapewa dawa na kurudi kwetu Tanzania.

Nilitumia ile dawa kwa siku 14 tu, ndani ya hizo siku mashine yangu kila mara ilikuwa inahitaji kuwa uwanjan kwa ajili ya mechi ya kukata na shoka.

Siku ya kwanza kuingia uwanjani kweli hata mimi nilikubali maana tangu nizaliwe nilikuwa sijawai kuwa uwanjani kwa dakika 90 na zaidi kuweza kucheza mechi tatu ndani ya usiku mmoja.

African Doctors alinieleza kuwa wanashughulika mambo tofauti hasa yanayotokea katika jamii zetu kila siku kama kumrudisha mpenzi aliyekuwacha, kupata mpenzi wa ndoto zako, kusafirisha nyota yako na kurejesha furaha, upendo na amani katika familia.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; [email protected].

Mwisho.




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

SASA NAPELEKA MOTO HATARI BAADA YA KUACHWA NA WAKE WAWILI

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×