Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

RAPPA KANYE WEST AFUNGA NDOA NA MFANYAKAZI WAKE



Rappa Kanye West 'Ye' kwa sasa ni mume mpya mjini! Ameripotiwa kuwa amefunga ndoa hivi karibuni, kwa mujibu wa TMZ.


TMZ imeripoti kwamba Kanye West amefunga ndoa na mfanyakazi kwenye kampuni yake ya Yeezy, bibie Bianca Censori ambaye ni mbunifu wa usanifu kwenye Kampuni hiyo.


Chanzo cha karibu na Kanye West kimeuthibitishia taarifa hiyo TMZ, hii ni baada ya kupata picha ya kidole cha Kanye West kikiwa na Pete ya ndoa.


Aidha, Kanye West na bibie Bianca Censori mapema wiki hii waliripotiwa kuonekana pamoja sehemu mbalimbali wakipata chakula.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

RAPPA KANYE WEST AFUNGA NDOA NA MFANYAKAZI WAKE

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×