Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

YANGA SC YAJICHIMBIA KILELENI, YAIFUMUA NAMUNGO FC 2-0





NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Yanga imefanikiwa kuichapa Namungo Fc kwa mabao 2-0, mechi ambayo imepigwa katika dimba la Majaliwa mkoani Lindi.

Mabao ya Yanga yamefungwa na Yannick Bangala Dakika 40 na bao la pili likifungwa na Tuisila Kisinda dakika ya 83 ya mchezo.

Ushindi huo wa Yanga sc umewafanya kuwaweka nafasi nzuri ya juu wakiwa na pointi 38 akifuatiwa na Simba mwenye pointi 34.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

YANGA SC YAJICHIMBIA KILELENI, YAIFUMUA NAMUNGO FC 2-0

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×