Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

PSSSF YASHINDA TUZO KUNDI LA HIFADHI YA MIFUKO


Kaimu Meneja wa Psssf Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi akionesha Tuzo waliyoipata baada ya kuibuka mshindi wa Tatu Katika Kundi la Hifadhi ya Mifuko ya Jamii na Huduma za Bima ya Afya kwenye Maonesho ya tano ya Teknolojia ya Madini yaliyomalizika Oktoba 8-2022 katika viwanja vya EPZA Bombambili Mkoani Geita.
Kaimu Meneja wa PSSSF Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Mfuko huo wakiwa wameshika Tuzo na Cheti baada ya kutangazwa mshindi wa tatu Katika Kundi la Hifadhi ya Mifuko ya Jamii na Huduma za Bima ya Afya wakati wa kufungwa rasmi Maonesho hayo Oktoba 8,2022 Mkoani Geita.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

PSSSF YASHINDA TUZO KUNDI LA HIFADHI YA MIFUKO

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×