Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

BINADAMU APANDIKIZWA FIGO YA NGURUWE



Timu ya upasuaji ya Afya ya NYU ikichunguza Figo ya Nguruwe
**

Wanasayansi kutoka Marekani wamefanikiwa majaribio ya Kupandikiza Figo ya Nguruwe kwa Binadamu na kugundua kuwa kiungo hicho kinaweza fanya kazi kikamilifu.

Wataalamu hao kutoka N.Y.U. Langone Health Taasisi ya kupandikiza Figo huko Manhattan wanasema walitoa Figo inayofanya kazi kwa Nguruwe kisha ikabadilishiwa vinasaba na kuipandikiza kwa Mwanadamu.

Hatua hiyo ya mafanikio inaweza kuleta matumaini kwa wagonjwa na kuwa chanzo endelevu na mbadala kwenye upatikanaji wa viungo hivyo.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

BINADAMU APANDIKIZWA FIGO YA NGURUWE

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×