Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

MASHABIKI WA YANGA SC MOROGORO WAANZA SHAMRA SHAMRA KUELEKEA SIKU YA WANANCHI

Na Jackline Lolah Minja - Morogoro
Kuelekea Siku ya Wananchi itakayofanyika Agosti 29 ,2021 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es salaam , viongozi na Mashabiki wa Yanga SC mkoani Morogoro wameiadhimisha kwa kushiriki usafi katika maeneo mbalimnali ikiwemo Stendi ya Mabasi ya Msamvu, eneo la Makaburi ya Wahanga wa moto na kutembelea watoto yatima katika kituo cha Mihayo kilichopo Mazimbu mkoani Morogoro.

Wakizungumza na waandishi wa habari baadhi ya viongozi pamoja na mashabiki wa timu hiyo wakiongozwa na Mhandisi Bahati Mwaseba ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji Yanga wameomba wapenzi na wadau wa mpira kuhudhuria siku hiyo ili kuendelea kuleta hamasa ndani ya klabu hiyo.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

MASHABIKI WA YANGA SC MOROGORO WAANZA SHAMRA SHAMRA KUELEKEA SIKU YA WANANCHI

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×