Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

TUNDU LISSU ATUA KENYA KUZINDUA KITABU CHAKE KESHO


Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amewasili jijini Nairobi nchini Kenya akitokea nchini Ubelgiji anakoishi ikielezwa kuwa yupo nchini humo kwa ajili ya uzinduzi wa Kitabu Chake cha Vivuli- Bunge na uwajibikaji kwa Afrika Mashariki, utakaofanyika Kesho Ijumaa Juni 25,2021 katika hoteli ya Windsor.

Mwanasheria wake, Profesa George Wajackoya amethibitisha uwepo wa Lissu Nairobi Kenya na kwamba uzinduzi wa kitabu hicho utafanyika kesho Ijumaa Juni 25,2021.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

TUNDU LISSU ATUA KENYA KUZINDUA KITABU CHAKE KESHO

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×