Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Tanzia : MHASIBU WA MANISPAA YA SHINYANGA SEIF HAMAD AFARIKI DUNIA


Seif Hamad enzi za uhai wake
Mhasibu wa Manispaa ya Shinyanga Seif Hamad Mande amefariki dunia leo jioni Alhamisi 18,2021 wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Meya wa Manispaa ya Shinyanga David Nkulila amethibitisha taarifa za kifo cha Seif Hamad Mande akieleza kuwa alikuwa ameugua kwa muda mrefu.

Taarifa zaidi tutawaletea.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Tanzia : MHASIBU WA MANISPAA YA SHINYANGA SEIF HAMAD AFARIKI DUNIA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×