Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

PICHA: Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga ukiwasili nyumbani kwake

Mwili wa aliyekuwa waziri wa katiba na Sheria Balozi Dkt. Augustine Mahiga, ukishushwa nyumbani kwake Gangilonga mjini Iringa kwaajili ya taratibu za kuuaga kabla ya kuelekea eneo alipozaliwa Tosamaganga nje kidogo ya mji wa Iringa kwa ibada ya  mazishi.





This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

PICHA: Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga ukiwasili nyumbani kwake

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×