Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Rose Ndauka Afunga Ndoa na Mpenzi Wake wa Muda Mrefu Haffiyy Mkongwa

Muigizaji wa filamu za Bongo Movie, Rose Ndauka ameingia rasmi kwenye maisha ya ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa muda mrefu anayefahamika kwa jina la Haffiyy Mkongwa.

Rose amefunga ndoa ya siri iliyohusisha watu wachache tu wa familia za wawili hao kutokana na kuwepo hatari ya mlipuko wa Ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona.





This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Rose Ndauka Afunga Ndoa na Mpenzi Wake wa Muda Mrefu Haffiyy Mkongwa

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×