Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Trump aionya India kuhusu kusitisha mauzo ya Hydoxy-chloroquine....Asema Atalipa Kisasi

Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kulipiza kisasi dhidi ya India ikiwa nchi Hiyo itapiga marufuku mauzo ya dawa aina ya Hydoxy-chloroquine. 


Hata hivyo India ambayo ni mzalishaji mkuu wa dawa hiyo duniani imepiga marufuku kuuzwa daqa hiyo nje.

 Rais Trump amesema amezungumza na waziri mkuu wa India Narendra Modi na kumwambia kuwa Marekani inapendelea kuzipata dawa ilizoagiza. 

Dawa hiyo ya Hydroxy-chloroquine inatumika kwa ajili ya Kutibu Ugonjwa wa malaria. 

Hata hivyo sasa inafanyiwa majaribio kubainisha iwapo inaweza kutumika kutibu ugonjwa wa Covid -19 unaosababishwa na maambukizi wa virusi vya corona.




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Trump aionya India kuhusu kusitisha mauzo ya Hydoxy-chloroquine....Asema Atalipa Kisasi

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×