Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Watendaji wa Kata Nchi Nzima Waitwa Ikulu

Rais John Magufuli wa Tanzania ametoa mwaliko kwa Maofisa Watendaji wa Kata kutoka Halmashauri zote nchini humo kuhudhuria mkutano Septemba 2, 2019 Ikulu jijini Dar es Salaam.

Taarifa iliyotolewa Agosti 23, 2019 na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) na kusainiwa na katibu mkuu wake, Joseph Nyamhanga imeeleza mkutano huo utafanyika katika viwanja vya Ikulu saa 2:00 asubuhi.





This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Watendaji wa Kata Nchi Nzima Waitwa Ikulu

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×