Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

AZAM FC YAWATANGAZA MAKOCHA WAWILI, BAADA YA KUACHANA NA HANS

Tags: hans mechi azam

Na Shabani Rapwi. Uongozi wa klabu ya Azam FC jana Jumamosi, February 23, 2019 ulimetangaza rasmi kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo Hans Van Der Pluijm baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili. Azam FC imefikia makubaliano ya kuachana na Hans pamoja na Msaidizi wake, Juma Mwambusi kutokana na kutoridhishwa na matokeo ya hivi karibuni kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL). Katika mechi 5 za mwisho chini ya kocha Hans wamefungwa mechi 2 (Tanzania Prison 1-0 na Simba 3-1 ) na kutoa sare mechi 3…

Source



This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

AZAM FC YAWATANGAZA MAKOCHA WAWILI, BAADA YA KUACHANA NA HANS

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×