Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

WATAHINIWA 57 WAFUTIWA MATOKEO SEKONDARI YA TUMAINI LUTHERAN SEMINARY

Baraza la mitihani  la Tanzania limefuta matokeo yote ya watahiniwa 57 wa shule ya sekondari Tumaini Lutheran Seminary (SO983) iliyopo katika wilaya ya malivyi mkoani morogoro   kwa kufanya vitendo vya udangafu  katika mitihani. Hayo yamesemwa na  katibu wa baraza la mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde  Jijini Dodoma ,wakati akitangaza matokeo ya Kidato Cha Nne yaliofanyika  tarehe 5  hadi tarehe 23 novemba, 2018, ambapo amesema kuwa uongozi wa shule kwa kushirikiana na walimu wa shule hiyo 6 , watahiniwa wa kidato cha nne , baadhi ya wanafunzi wa kidato cha…

Source



This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

WATAHINIWA 57 WAFUTIWA MATOKEO SEKONDARI YA TUMAINI LUTHERAN SEMINARY

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×