Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

SINGIDA UNITED YASAJILI MAKOCHA WAWILI KUTOKA SERBIA


Popadic Dragan ambaye ni Kocha Mkuu ameamua kuja na mwenzake ambaye atakuwa Msaidizi, Dusan Momcilovic.

Usajili wa makocha hawa umefanikiwa ikiwa ni baada ya klabu hiyo kutokuwa na Kocha Mkuu tangu kuondoka kwa Hans Van Der Plujim ambaye alitimkia Yanga.

Pengine Singida wameamua kuboresha benchi la ufnudi kwa ajili ya michuano ya SportsPesa Super CUP itakayokuja hivi karibuni.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

SINGIDA UNITED YASAJILI MAKOCHA WAWILI KUTOKA SERBIA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×