UTURUKI: Takribani watu 39 wamefariki dunia na wengine wapatao 69 wamejeruhiwa vibaya baada ya ukumbi mmoja wa starehe kufanyiwa shambulio la Kigaidi usiku wa kuamkia leo.
Washambuliaji wawili wanaohofiwa kuwa ni wa Kikundi cha Kigaidi cha ISIS ndio wametekeleza shambulio hilo.