Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetoa orodha ya viwango vya soka ulimwenguni, ingia hapa kujua nani anaongoza

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetoa orodha ya viwango Vya Soka Ulimwenguni ambapo mpaka sasa Argentina ndio inayoongoza duniani.


Kwa upande wa Afrika Senegal ndio vinara na ipo nafasi ya 33 ulimwenguni, huku wakifuatwa na Ivory Coast katika nafasi ya pili ambapo wanafungana na Tunisia kwenye Nafasi hiyo na nafasi ya 36 ni Misri na wapo nafasi ya 34 ulimwenguni.



This post first appeared on Mutalemwa, please read the originial post: here

Share the post

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetoa orodha ya viwango vya soka ulimwenguni, ingia hapa kujua nani anaongoza

×

Subscribe to Mutalemwa

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×