Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Ajali iliyotokea eneo la Msikitini yasababisha foleni kubwa kwa wakazi wa Mbagala

Kitendo cha kutokea ajali maeneo ya Maikitini Eneo ambalo liko katikati ya Mrongani na Mission wilaya ya Temeke kumesababisha Foleni Kubwa sana kwa watumiaji wa barabara ya Kirwa Road.

Ambapo folen ya kutoka Mjini kwa walio fangulia imeanzia Bandari na kuishia eneo la Mission. Magari yanayotoka mjini kuelekea Mbagala rangi tatu yakifika Mtongani yanatumia barabara ya magari yanayotoma mbagala kuelekea mjini na kwingineko.
Na kwa wale wanaotoka Mbagara kuelekea maeneo ya mjini, kama Tandika, Buguruni, Ubungo nk, foreni yao imeanzia Zakhem hadi Mission. 


This post first appeared on Mutalemwa, please read the originial post: here

Share the post

Ajali iliyotokea eneo la Msikitini yasababisha foleni kubwa kwa wakazi wa Mbagala

×

Subscribe to Mutalemwa

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×