Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

KILA MTU ANAENDESHA CHOMBO CHAKE JINSI ANAVYOJUA YEYE MWENYEWE, EBU TAZAMA HII


Ajali hii ilitomea kituoni kabisaa, eneo la Kizuiani Mbagala.
Gari namba T 602 DGT ndilo lililo sababisha ajali maeneo hayo.
Na gari namba T 436 DFM iyo Daladala Unayoiona Hapo upande ww kulia ilikuwa imepaki kituoni bila shida yoyote.
Baada ya gari tajwa hapo picha ya juu yake hii ilikuja bajaji yenye namba MC 495 AEQ nayo ikawa inaingia kituoni kabla haijasimama ndipo olipoingia ole daladala tajwa hapo mwanzoni kabisa mwa habari hii kisha kusababisha ajali hii.
Mabishano galichukua mda mwingi kama dakika 10 hivi, na mwenye bajaji akiwa ni mtu mwenye uremavu wa miguu alikuwa na wenzake wawili nakufanya idadi ya watu kwenye bajaji ole kuwa na jumla ya watu watatu.
Mwenye iyo daladala unayoiona hapo kushoto kwako alikuwa akidai yeye amegongwa na mwenye bajaji wakati yeye ndiye aligeingia vibaya kituoni na kumgonga mwenye bajabi kisha mwenye bajaji kujibamiza kwa ole daladala ya kulia.


This post first appeared on Mutalemwa, please read the originial post: here

Share the post

KILA MTU ANAENDESHA CHOMBO CHAKE JINSI ANAVYOJUA YEYE MWENYEWE, EBU TAZAMA HII

×

Subscribe to Mutalemwa

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×