Shukurani za dhati kwako wewe shabiki wetu wa Tanzania ulieitikia wito wa kushiriki katika zoezi la kuchaguwa kati ya Donald Trump na Hillary Clinton, nani ungependa awe rais ajaye wa Marekani.
Matokeo ya kura zenu ni kama ifuatavyo:
Tanzania
Donald Trump: 39.6%
Hillary Clinton: 60.4%
Mataifa mengine ya dunia:
Donald Trump: 31.2%
Hillary Clinton: 86.8%