Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Master Jay aeleza kilichomfanya kuacha kazi ya mziki, ingia hapa kujua zaidi

Ni ukweli usiopingika Kuwa hakuna muziki pasipo kuwa na watayarishaji wa muziki – lakini wao ndio wamekuwa wakiongoza kuishi maisha ya chini zaidi. 

Akiongea na kipindi cha Ladha 3600 ya EFM, mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa nchini Master Jay amesema kuwa kwa Bongo ni maproducer wachache wenye maisha ya kwendana na hadhi yao. 


“Kati ya maproducer wanaoishi maisha mazuri hapa mjini ni mimi na Hermy B,” amesema Jay.

Master ameongeza kuwa yeye alishtuka mapema ndio maana akaamua kuachana na Kazi Hiyo kutokana na kutoona faida na kazi hiyo wakati huo huo akiwa na familia inayomtegemea.



This post first appeared on Mutalemwa, please read the originial post: here

Share the post

Master Jay aeleza kilichomfanya kuacha kazi ya mziki, ingia hapa kujua zaidi

×

Subscribe to Mutalemwa

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×