Kumekuwa na kamtindo ka wasanii wetu Hapa TZ Kuweka Picha ya vitu wanazonunua online na wengine kuweka kwa ajili ya mauzo ili wapate cha kuongelewa na mashabiki wa hapa bongo. Mwanadada anayefanya poa kwnye tasnia ya uigizaji Wastara Juma amewaweka mashabiki wake katika hali ya kutokujua baada ya kuweka picha akiwa ndani ya Gari Aina ya HUMMER na kuzua maswali kwa mashabiki wakiuliza ni lake au