Harmonize Sijalewa Lyrics Huyo ex wakunifanya ninywe nilewe mbona simuoni (simuoni) Mawazo ya kunifanya ninywe nilewe me siyaoni (siyaoni) Na ukiniona nipo kiwanja nipo hapa kuruka kwanja Mara moja moja navutaga ganja jicho likae kijanja Mmh thanks baba God for the blessing am living my life no stress Music is just my dream am chasing […]