Harmonize Nitaubeba Lyrics Imagine uko jangwani umepotea Mchana juani unatembea Utokapo ni mbali uendapo ni mbali Mara ngamia mbebaji akatokea na Kukushusha mzigo uliokuelemea Upate afadhali pole na safari And thats why today to me yote tisa Ila kumi umeonesha maana ya upendo Si kwa maneno bali kwa vitendo, Umeridhika na nilichonacho Vya watu hutoleagi […]