MBOGI GENJE Ft WAFALME – Kakinuka Lyrics. Na si adi mbona unableki na bado hujajitepa ah
Tumejipin mpaka unadai sepa
Na bado ni mashash madawa wakuziburn
Ka kawa wakujinyc baadae ni kumteka
Ju ka ni mbaya ni mbaya ka kawaida
Bado ni mashang’ vidungi za kila aina
Ririma kuwatepa kuwachuna ka designer
Ngeso kuwaswipe kupona kutoa ryte ee
Diki ni mwere si alidhani jo ni movie
Ju vile kalibonge ilibaki ametoka nduki
Bado kumeditate kuririma na mandugu
Utabaki umevuta chaji unaskia si ndo maguru
Looku daily itabaki mmetutaja kakinuka
Mahedi ni harufu tu ya ganja kakinuka
Ka daily uyu mrazi akibanja katanuka
Kaguze kanuke na bado tukanuse
Dr Tumi – Udumo Lyrics
The post MBOGI GENJE Ft WAFALME – Kakinuka Lyrics appeared first on Koti Lyrics.