Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Christian Bella – Binadamu Lyrics

Christian Bella – Binadamu Lyrics

Christian Bella – Binadamu Lyrics. CBO baba ooh
Mama haya dunia yana mambo mengi
Utakuta unapenda kuishi na binadamu
Lakini kila siku wanakugeukia eeh
Usijali hawa ndio binadamu

Wakikukwepa kuna siku watakutafuta
Wakikusengenye nyamaza watajifunza
Wakikudharau ipo siku watakusifia
Ni kawaida yao, kawaida yao
Tenda wema nenda zako usingoje shukurani

Ona binadamu Wabaya, wabaya wabaya
Ubinadamu ni kazi, wabaya wabaya
Watu wa dunia wabaya, wabaya wabaya
Ooh no no wabaya wabaya…

Dunia sisi ni binadamu tunapita, tunapitra
Dunia ya Mola, tenda mema
Unajiwekea akiba kwa Mungu Baba
Amini raia dunia itapita

Mungu akikujali usidharau wenzio
Ukipata kidogo saidia wasiojiweza
Tenda mema duniani usingoje shukurani
Kuna binadamu ni wa ajabu sana
Hawapendi kuona maendeleo ya wengine

Watakuchekea usoni
Ukiwapa kisogo wanakumaliza kabisa
Hawana maana
Watakufuata kama unacho
Ukikosa kabisa wanakumaliza kabisa
Ni binadamu

Mwenzako akipata usinune
Fanya na wewe ujitume
Chuki hawezi kuwa mfalme
Ndo maana lima kesho uvune

Mwenzako akipata usinune
Fanya na wewe ujitume
Chuki hawezi kuwa mfalme
Ndo maana lima kesho uvune

The post Christian Bella – Binadamu Lyrics appeared first on Koti Lyrics.



This post first appeared on KotiLyrics, please read the originial post: here

Share the post

Christian Bella – Binadamu Lyrics

×

Subscribe to Kotilyrics

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×