PICHANI JUU WANAFUNZI WA LYUSA SEKONDARI KIDATO CHA PILI WAKIWA KATIKA MITIHANI YA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA ILIYOANZA TAREHE 13/05/2013 NA KUMALIZIKA TAR 20/05/2013PICHANI CHINI NI WANAFUNZ… Read More
DIWANI WA KATA YA NKOMA WILAYA YA MEATU BWANA ELIA GANDE KUTOKA KULIA AKIAMBATANA NA MWALIMU MKUU WA LYUSA SEKONDARI MWL DEOGRATIUS MAGESA KUTOKA KUSHOTO.WAKIWA KATIKA UKAGUZI WA MAENDELEO Y… Read More
Hatimaye baada ya miaka mitano (2008-2013) kupita ujenzi wa maabara ya sayansi umeanza kwa kasi ya ajabu. Pichani ni mafundi wakiendelea na kazi yakujenga maabara hiyo.Mafundi wakiende… Read More
Timu za mpira wa miguu (Wasichana) Kimali na Lyusa zikiwa katika mpambano mkali na wakusisimua.Timu ya shule ya sekondari Kimali katika picha ya pamoja. Timu ya shule ya sekondari… Read More
Timu za mpira wa miguu (Kimali na Lyusa Shule ya Sekondari) zikiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza mpambano ambao hadi unaisha timu ya Kimali ilikuwa ikiongoza. Timu ya shule ya… Read More
TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA WASICHANA KIMALI SEC IKIJIANDAA KUCHEZA NA TIMU YA MEATU SEC.TIMU YA MPIRA WA PETE YA LYUSA SEC.WANAFUNZI WAKIELEKEZWA KUKIMBIA RIADHA SIKU YA UMISETA.W… Read More
Timu ya kidato cha nne na pili katika picha ya pamojaMpambano ukiendelea kwa kasi.Kidato cha pili wakifunga goli lao la pili. Kidato cha nne walishinda kwa 4-2Katika mechi hiyo iliyofanyika… Read More
kijana huyu kwa jina Luhende Castory mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari lyusa ailiyopo katika kijiji cha nkoma wilaya ya Meatu mkoa wa Simiyu, Alikutwa na mpiga picha w… Read More
Walimu wa Lyusa S.S wakiwa katika kibaraza cha nyumba yao kutoka kushoto ni Mwl Manamba C, Theresia Tembo, Kassim Maguluko, Geofrey Mbingamno na Mnzava T, pamoja na Jacob mtoto wa Mwalimu Ma… Read More
Mtafiti Maganga Musa kutoka Mwambegwa akiwa na wanafunzi wa shule ya sekondari Lyusa wakati alipokuja kukusanya taarifa za ufundishwaji wa masomo ya sayansi katika shule hiyo.Mtafiti Maganga… Read More
Kidato cha Pili (2013)Kidato cha Nne (2013)Mechi iliyofanyika siku ya Ijumaa tarehe 22/02/2013 kati ya kidato cha Pili na Kidato cha Nne. Kidato cha Pili walishinda goli 4-2 zidi ya ki… Read More
Huu ndio msingi wa jengo la maabara ya sayansi katika shule ya sekondari lyusa kama unavyoonekana katika picha msingi huo una miaka zaidi ya minne tokea umeanza kujengwa na haijulikani jengo… Read More
Hawa ni baadhi ya popo wanaoishi kati paa la moja ya nyumba za walimu shuleni hapa, Popo wamekuwa wengi kiasi kwamba wanakua kero kwa wakazi wa nyumba hizo, wanasambaza utitiri… Read More
UFAULU KATIKA SHULE YA SEKONDARY LYUSA WAONGEZEKA UKILINGANISHA NA MIAKA YA NYUMA. KATI YA WANAFUNZI 29 , DIVISION-1=0,DIV-II=3,DIV-III=9,DIV-IV=11,DIV-0=6. &nbs&hell…Read More
MWALIMU THOBIAS YONAS MNZAVA ALIFARIKI TAREHE 16/08/2013 KATIKA WILAYA YA KISHAPU MKOA WA SHINYANGA KWA AJARI YA PIKIPIKI.MWALIMU THOBIAS MNZAVA KATIKA UHAI WAKE ALIAJIRIWA TAREHE 01/02/2012… Read More