WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaonya baadhi ya wamiliki na waendeshaji wa makao ya watoto wasiofuata taratibu za usajili wa watoto, wanaowatumia watoto kama mitaji au kwa maslahi binafsi na… Read More
KATIBU Msaidizi wa Tawi la Simba Cream la Jijini Tanga Edgar Mdime ambaye pia ni Mweka Hazina kulia akimkabidhi biskuti mtoto Huchirachi Ally leo anayelelewa kwenye kituo cha Kulea wat… Read More
Na Amiri kilagalila-NjombeJamii nchini inaombwa kuendelea kutoa mchango katika vituo vya kulea watoto yatima pamoja na kusaidia watoto katika malezi,ili kuendelea kupunguza changamoto zinazo… Read More
MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kushoto akimkabidhi fedha Taslimu kiasi cha Milioni 2.5 Mwenyekiti w… Read More
Rania Nasser akitoa msaada wa barakoa katika kituo cha watoto yatima Msimbazi Rania Nasser akitoa msaada wa barakoa katika kituo cha Mother Theresa Charity CenterRania Nasser akis… Read More
TECNO MOBILE TANZANIAP.O.BOXDAR ES SALAAM, TANZANIA25/06/2020PRESS RELEASE: Tecno Mobile Tanzania Kutembelea Kituo Cha Watoto YatimaMnamo tarehe 27 Juni mwaka huu Tecno Mobile Tanzania… Read More
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetembelea kituo cha kulea watoto yatima cha Mama wa Huruma kilichopo Madale, Dar es Salaam. LHRC wamefanya tukio hilo la kiutu Ijumaa, Sep… Read More
Baadhi ya watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote [UCSAF] wakiongozwa na Mtendaji Mkuu katika zoezi la kukabidhi vifaa kwa uongozi wa kituo. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Bi Just… Read More
Brighiter Masaki
Taasisi isiyo ya kiserikali ya Volunteers in Development imeandaa harambee ya kuchangisha futari kwa ajili ya yatima waishio majumbani kwao na familia zao.
Akizungumza na w… Read More
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi amesema kuwa katika Dini ya Uislamu Mwenyezi Mungu amehimiza kuwatunza wazee kwa kuwafanyia wema na ihsani katika mai… Read More
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
Waislamu nchini wametakiwa kufuata maelekezo ya mtume Muhammad (SAW) wakati wa Futari na Daku, badala ya mazoea mabaya ya kula na kujaza tumbo kwa sampuli mbalimb… Read More
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala wza Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Tanga (CCM) kulia akimkabidhi msaada wa futari alioutoa Kati… Read More
Mwenyekiti wa taasisi ya Shabab Daawat islamia Ally Mbarak (wa pili kushoto) na Shekh wa msikiti wa ibadhi Nouh Mousa wakitoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yat… Read More
NA MWANDISHI WETUShirika la Bima la Taifa (NIC) limetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watu wenye mahitaji maalumu hasa watoto yatima na wajane jijini Mwanza.Akizungumza wakati wa futari, Mku… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blogBenki ya CRDB Kanda ya Magharibi imetoa Futari kwa watoto wanaolelewa katika kituo cha kulelea watoto yatima ‘Shinyanga Society Orphanage Centre&rsquo… Read More
Meneja wa benki ya CRDB Kanda ya Magharibi Said Pamui akiwakabidhi watoto yatima futari katika kituo cha Kahama Peace Ophanage CenterMeneja wa benki ya CRDB Kanda ya Magharibi Said Pam… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaomba viongozi wa dini katika mahubiri yao waweke msisitizo katika masuala ya kuwekeza kwa vijana ikiwa ni pamoja na kukemea vitendo vyote hatarishi vis… Read More
Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya akitoa hotuba kwenye Swala ya Eid El Fitri katika uwanja wa Sabasaba mjini ShinyangaWaumini wa dini ya Kiislamu mkoani Shinyanga wakiwa kwenye Sw… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Soud Group Company, Hilal SoudNa Annastazia Paul - ShinyangaWaumini wa dini ya Kiislamu Mkoani Shinyanga wametakiwa kuishi kwa kufuata misingi ya dini, kwani ni ufunguo wa… Read More
KAIMU Mkuu wa wilaya ya Mkinga Erick Farahani ambaye ni Afisa Tawala wa wilaya ya Mkinga akizungumza wakati wa Kongamano la siku ya Mtoto wa Africa lililofanyika wilayani humoMwakilish… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Mwanza, linatarajia kusherekea sikukuu ya Idd El Hajji Julai 21 mwaka huu kwa kuwafundisha waumini wa d… Read More
Na Jackline Lolah Minja - MorogoroKuelekea siku ya Wananchi itakayofanyika Agosti 29 ,2021 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es salaam , viongozi na mashabiki wa Yanga SC mkoani Morogoro wam… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Taasisi ya Fahari Tuamke Maendeleo iliyopo Mongolandege Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imetoa misaada ya vyakula na kuwalipia bima ya afya watoto 5… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan inaheshimu, inathamini na kutambua mchango mkubwa unaotolewa na taasisi za k… Read More
Na Mwandishi Wetu, Songea
Kocha Mkuu wa Yanga, Nesreddine Nabi amesema anaumia kuona baadhi ya wachezaji wa kigeni wanakaa benchi kutokana na kuruhusiwa kuchezesha nane pekee katika kila mec… Read More
Na Upendo Mosha,Moshi
WADAU wa Elimu, ikiwemo Taasisi za dini katika Mkoa wa Kilimanjaro, wameiomba serikali kuondoa baadhi ya tozo na kodi ambazo zimekuwa changamoto katika shule hizo, hat… Read More
Msanii MusomaNa Dotto Kwilasa-Malunde 1 blog, DodomaMSANII wa Muziki wa Kizazi kipya Giraruma Yusuphu Kisheri maarufu kwa jina la Musoma ameachia wimbo uitwao Malalamiko ambao amemshirikisha… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wakubwa wa madini ya Vito ndani na nje ya nchi ili kuwawe… Read More
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issah**Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issah amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu 8 na 19 kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya Coaster T 2… Read More
Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Iringa Mhe. Rita Kabati akiwasalimu wageni waalikwa wakiwemo watu wenye ulemavu waliohudhuria Kongamano la watu wenye ulemavu wa Mkoa huo mara baada ya kupokea… Read More
Na Denis Sikonde, Songwe
Ukosefu wa kipato cha kutosha umesababisha kituo cha kulelea watoto yatima cha Isoko(ISOKO HOSPITAL OPHANS PROJECT) wilayani Ileje mkoani Songwe kupunguza idadi ya w… Read More
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza na Wananchi katika Kijiji cha Lugarawa wilayani Ludewa baada ya kufika kijijini hapo kutatua changamoto ya upatikanaji umeme.Waziri wa Nis… Read More
Jamii imeaswa kulipa umuhimu na kipaumbele suala la elimu kama nyenzo muhimu katika kuleta mabadiliko mbalimbali katika jamii sambamba na kuwa na fikra mbadala za kuwezesha jamii kubad… Read More
Na Mwandishi wetu,Morogoro UMOJA wa waandishi wa habari wanawake Dar es Salaam chini ya asasi ya sauti ya matumaini Foundation SAMAF kwa kushirikiana na Kampuni ya Simu ya Itel wa… Read More
WIKI mbili zilizopita kulikuwa na habari za tanzia kuhusu mwanamke mmoja aliyefariki dunia katika ajali ya barabara alipokuwa akimkimbiza mumewe, Sonnie Bassey baada ya kumfumania na mwanamk… Read More
MKRISTO KUWA NABII WA UONGO.MHUBIRI: VENIUS G MLANGU.Yeremia 7:1-2,4-16[1]Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema, The word that came to Jeremiah from the LORD, say… Read More
Bishop Dr Suleiman Elisha Mjumbe na katibu wa Bodi (TWWT) kushoto akimkabidhi cheti Dr Nathanael Kigwila Kulia kwake, Kushoto kwa ni Mke wa Kigwila Bi Gloria Kigwila pamoja na mtoto wao Enoc… Read More
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Tixon Nzunda (katikati) akifanya tukio la ufunguzi wa jengo jipya la la Maabara na Ofisi, Kituo cha Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanz… Read More
Maandamano ya wahitimu wa darasa la awali yakiendelea kuelekea ukumbini.Mahafali ya kwanza katika shule ya Awali na Msingi SHADE ‘Shade English Medium Pre and Primary School&rsqu… Read More
Na Denis Sinkonde, Songwe
VIONGOZI na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ileje mkoani Songwe, wametakiwa kujenga ushirikiano na kuacha vitendo vya majungu na fitina ndani ya cha… Read More
Na. Mwandishi wetuWafanyakazi wanawake wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), wametembelea gereza la Segerea, jijini Dar es Salaam, kutoa msaada wa taulo… Read More
Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital
Katika kuhakikisha kwamba inasaidia jamii ya Watanzania kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imekabidhi msaada kwa kituo cha wa… Read More
Na Jeremia Ernest, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya Michezo ya kubashiri nchini Tanzania ya WinPrincess Bet imewapa Ubalozi Wasanii, Lucas Mhuvile maarufu ‘Joti’ na msanii wa Muziki… Read More
Katika Muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Ditopile amegawa Futari kwa Wazee, Wajane na watu wasio jiweza Wilaya Kondoa Mkoani Dodom… Read More
Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital
Benki ya KCB imetoa msaada wa vyakula katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Maunga Center kilichopo Hananasifu, Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Vyak… Read More
Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam (kulia) ikikabidhi sadaka ya vyakula katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija M… Read More
Kaimu Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi Ndg. Jumanne Wambura Wagana akizungumza wakati Benki ya CRDB ikiwafuturisha Wateja na Wadau wa Benki ya CRDB Mkoa wa Tabora
Na Mw… Read More
Na Gustafu Haule, Pwani
KAMPUNI ya Kyem General Supplies Limited ya Kibaha Mailimoja inayojishughulisha na masuala ya uuzaji na usambazaji wa vyuma chakavu pamoja na vifaa vya… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni ya usafirishaji mizigo ya Twalib imetoa msaada wa vyakula katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Alfurqaan kilichoko Chanika jijini Dar es Sa… Read More
Na Gustafu Haule, Pwani
KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Pasaka kampuni ya Kyem General Supplies Limited ya Kibaha Mailimoja imeendelea kushirikiana na jamii ambapo hii leo Aprili 9, 2023… Read More
It’s not difficult to see why scientists are drawn to science fiction as a form of expression in their books. It allows them to explore their own ideas in a creative way that can somet… Read More
MKURUGENZI wa Kituo cha Kulea Watoto cha Goodwill and Humanity Foundation Sayyed Muhdhar Idarusi akizungumza wakati wa hafla ya Iftari aliyoaiandaa kwenye Kituo hichoMwakilishi wa Katibu Ta… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Online tweep Maverick Aoko causes a stir online after revealing how ex-CAS David Osiany slept with her and conned her love with a dime shilling. The famous blogger explained that Osiany… Read More
Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete (katikati) na Mkurugenzi Mkuu wa TACAIDS, Dk. Leonard Maboko (kushoto kwake) wakimkabidhi hundi ya Sh milioni 100 Mwenyekiti wa Mfuko wa Udhamini wa kudhi… Read More
Ninafanya kazi nzuri kwenye shirika lisilo la kiserikali la kusaidia watoto yatima, wazee na wale waote wasio jiweza Dodoma huko shirika letu linaitwa Diamanda Foundation sio kongwe sana li… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi Rosemary Senyamule, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mh. Jaffar Shekimweri na Katibu Wa Ccm Mkoa wa Dodoma Mh. Pili Augustine Mbanga ni miongoni mwa viongozi walioguswa… Read More