Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC) limetoa mchango wa shilingi 14, 700,000 kwa ajili ya kufanikisha mashindano ya soka ya Kombe la Mapinduzi ya mwaka huu yanayotarajiwa kuanza tar… Read More
Baada ya kutoka sare katika mechi ya kwanza Yanga imefanikiwa kutoka na pointi tatu muhimu dhidi ya Namungo katika michuano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea Visiwani Zanzibar baada ya kuichapa… Read More
Nembo ya shirikisho la soka barani Afrika CAF na picha ya tuzo ya kombe la Mashindano ya CHAN.Sherehe za uzinduzi wa michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani yaan… Read More
Kuelekea kwenye mchezo huo, kocha wa Taifa Stars, Mrundi Etienne Ndayiragije amesema “maandalizi yameenda vizuri, wachezaji wapo sawa. Kuhusu korona wamechekiwa wote wako sawa, tuko vi… Read More
Simba Sport Club leo January 22, 2021 , imetangaza michuano ya Kimataifa ‘Simba Super CUP’ ikihusisha timu tatu Simba, TP Mazembe ya Congo na Al Hilal ya Sudan.Pia, timu hiyo ime… Read More
Sharifa Mmasi,Mtanzania Digital
MICHUANO ya Klabu Bingwa ya judo ya Majeshi Afrika Mashariki, yanatarajiwa kufanyika Desemba 6-12 mwaka huu mjini Moshi mkoani Kilimanjaro… Read More
Mholanzi, Hans Van Der Pluijm.Didier Gomes.KATIKA rundo la CV ambazo Simba imezipokea kwa ajili ya nafasi ya kocha mkuu wa timu hiyo, kuna majina ya makocha kadhaa waliowahi kuifundisha Yang… Read More
Na Mwandishi Wetu
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Netiboli, Taifa Queens, imeanza vibaya michuano ya Kombe la Netiboli kwa nchi za Afrika baada ya kufungwa na Uganda ‘She Cranes’… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
NAHODHA wa timu ya Taifa, Taifa Stars Mbwana Samatta tayari amejiunga na kikosi hicho, huku akisema mchezo dhidi ya DR Congo utatoa taswira ya timu hiyo k… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
MASHINDANO ya wazi ya gofu ‘Lugalo Open 2021’ yanatarajia kuanza kutimua vumbi Novemba 12-14, 2021 kwenye viwanja vya Klabu ya Gofu Lugalo, ya… Read More
Na Mwandishi wetuKamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania amewapongeza watumishi wa Mamlaka hiyo ambao ni wanamichezo kwa kuibuka washindi katika michuano ya SHIMMUTA iliyokuwa ikitimua v… Read More
Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati wa Benki ya CRDB, Boma Raballa (katikati) akionyesha aina mpya ya kadi za ‘TemboCard’ wakati wa hafla ya uzindunzi wa kampeni ya Tisha na Te… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
KLABU ya gofu ya Lugalo imefanya vizuri katika mashindano ya gofu ya NBC Tanzania Open 2021 baada ya wachezaji wao kuibuka washindi kwenye vipengele mbali… Read More
MADRID, Hispania
MKUU wa benchi la ufundi la Real Madrid, Carlo Ancelotti, amesisitiza kuwa kikosi chake kina nafasi ya kutwaa taji la msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Madrid walikarib… Read More
BEIJING, China
SERIKALI ya China imezionya nchi zilizogoma kushiriki michuano ya Olimpiki ya mwakani itakayofanyika Beijing, ikisema zitajutia hatua yao hiyo.
Marekani, Uingereza, Australi… Read More
JUMLA ya wachezaji watatu wanatarajiwa kuondoka katika kikosi cha Azam FC kwenda katika timu ya taifa ya Zimbabwe kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON).Wachezaji hao ni beki… Read More
Beki wa kulia wa Azam Fc Nicolas Wadada akijaribu kumtoroka kiungo mkabaji Raia wa Mali, Sadio Kanoute aliyefunga bao la kwanza katika mchezo wa Ligi kuu ya NBC Simba imeibuka na ushindi wa… Read More
********************Na. John MapepeleRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe, Samia Suluhu Hassan ameukaribisha mwaka 2022 kwa kupongeza mafanikio makubwa ya Michezo na Sanaa yaliyofiki… Read More
******************NA EMMANUEL MBATILOLeo mechi mechi mbili zimechezwa katika michuano ya Mapinduzi Cup ambapo Simba Sc iliingia uwanjani jioni ya leo kuvaana na timu ya Selem View na kufanik… Read More
KIUNGO, Udoh Utop jana Jumapili aliondoka rasmi nchini ambapo alikuja kwa ajili ya majaribio ndani ya Simba na kurejea kwao nchini Nigeria.Udoh alikuja nchini sambamba na winga mwenye uraia… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
MKUU wa Majeshi Mstaafu ambaye ni muasisi wa Klabu ya Gofu ya Lugalo, Jenerali George Waitara, amesema juhudi zinafanyika ili kujenga uwanja wa gofu kweny… Read More
Na Alex SonnaWAWAKILISHI Pekee wa Afrika Mashariki na Kati Timu ya Simba imeshindwa kutamba ugenini baada ya kuchapwa mabao 2-0 na wenyeji RSB Berkane Mchezo wa Kundi D Michuano ya Kombe la… Read More
Tunarudisha Kwenye Jamii Inayotuzunguka.
Meridianbet kwa kushirikiana Emanuel Mkuchu (muandaaji wa Meridianbet Mkuchu cup) pamoja na Taasisi ya Bega kwa Bega na Mama, walishirikiana ku… Read More
Na Alex SonnaSIMBA na RSB Berkane zimetinga kibabe hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kupata ushindi katika mechi zao za mwisho Kundi D.Simba aki… Read More
Na Alex SonnaSIMBA w wametinga Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la Azam Sport Federation (ASFC) na kuifuata Yanga kibabe baada ya kuichapa mabao 4-0 Timu ya Pamba FC kutoka Mwanza Mchezo ul… Read More
Shirikisho la Soka Kimataifa (FIFA) lipo kwenye mkakati wa kutambulisha maroboti watakaokuwa waamuzi wa pembeni katika michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika Qatar, Novemba mwaka huu 2022… Read More
Mchezaji wa timu ya Simba Msenegal Pape Othman Sakho akiwa katika picha ya pamoja na mkongwe wa soka la Afrika J. J. Okocha huku akiwa ameshikilia kiatu chake Cha dhahabu baada ya kushinda t… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanayamapori Tanzania (TAWA) imechangia kiasi cha Sh milioni 10, ikiwa ni kuitikia wito wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuzisaidia… Read More
KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, amesema wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo Jumapili dhidi ya Uganda utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar es salaam.Mchezo… Read More
Na Mwanadishi Wetu, Mtanzania Digital
MATAJIRI wa madini, Klabu ya Geita Gold kesho wanatarajia kurusha karata yao ya kwanza katika michuano ya kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho Barani Af… Read More
Klabu ya Bayern Munich imeendeleza mpambano wao wa hivi majuzi dhidi ya wababe wenzao wa Ulaya Barcelona kwa ushindi wa 2-0 katika mechi ya Kundi C ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa… Read More
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ametumia miaka saba iliyopita na Los Blancos, lakini sasa anakabiliwa na mustakabali usio na uhakika Santiago Bernabeu kwani amebakiza chini ya mi… Read More
Manchester United inaweza kumsajili Mkristo Eriksen wa Pili JanuariIlikuwa Machi 2020 wakati Jude Bellingham mwenye umri wa miaka 16 alipotolewa kwenye lango la Carrington ili kuzuru u… Read More
Ukame wa mabao wa Son Heung-min msimu huu umeongezeka hadi mechi nane kwa Tottenham, na hivyo kuzidisha wasiwasi mjini Seoul kuhusu ubora wa nyota huyo wa Korea Kusini miezi michache t… Read More
Rais Samia Suluhu Hassan kupitia akaunti zake rasmi ya mitandao ya kijamii ameandika;“Kongole Simba kwa ushindi wa 1-0 (ushindi wa jumla 4-1) mlioupata dhidi ya timu ya Primeiro De Ago… Read More
Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d'Or kwa mara ya kwanza, baada ya kufurahia mwaka bora wa kikazi akiwa Real Madrid mnamo 2022.Fowadi huyo wa Ufaransa alikuwa katika hali ya kuvu… Read More
Benki ya CRDB na kampuni ya bima ya Sanlam Life Assurance zimetangaza udhamini wa shilingi milioni 350 kwa ligi ya mpira wa kikapu ya taifa 2022 ijulikanayo kama “CRDB Bank Taifa Cup&r… Read More
KLABU ya KMC, alimaarufu kama “KINO BOYS”, kwa kushirikiana na Mdhamini mkuu wa klabu hiyo kampuni ya Meridianbet wametoa msaada wa vifaa vya ujenzi wa kituo cha polisi, kilichop… Read More
Ile Michuano mikubwa kwenye ulimwengu wa Soka dunia inaanza kutimua vumbi Novemba 20/2022, ambapo mwenyeji Qatar atacheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Equador kwenye Kundi A, lenye miamba wen… Read More
Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Jumanne kutakuwa na mechi 4 za kundi C na D, Argentina vs Saudi Arabia, Mexico vs Poland, Denmark vs Tunisia, na France vs Austral… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Zikiwa zimepita siku chache tokea kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar, Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch Tanzania imewapa wateja… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Zikiwa zimepita siku chache tokea kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar, Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch Tanzania imewapa wateja… Read More
Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Alhamis kutakuwa na mechi 4 za kumalizia mzunguko wa kwanza wa makundi ni kundi G na H, Uswizi vs Cameroon, Uruguay vs Jamhuri ya… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiwa uwanjani kushuhudia mechi ya Kombe la Dunia kati ya Argentina na Poland ikiwa ni sehemu ya mwaliko kutoka Visa International, w… Read More
Mchezaji anaekiputa kwenye klabu ya Benfica ya nchini Ureno na timu ya Taifa ya Argentina Enzo Fernandez ametangazwa kuwa mchezaji bora kijana michuano ya Kombe la Dunia 2022 iliyomalizika k… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong (kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Geita FC, Pole Zengo, wakionyesha mkataba wa udhamini uliosainiwa kati ya pande hizo mbili. Wa kwanza kushoto ni Mbu… Read More
Na Mwandushi Wetu, Mtanzania Digital
UWANJA wa Magogo unaojengwa na Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mine Limited, unatarajiwa kukamilika mwezi Mei mwaka… Read More
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya kununua kila goli kwa Tsh. Milioni 5/- wakati timu za Simba na Yanga zikicheza… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAMKLABU ya Simba imeshindwa kupata pointi kwenye mechi yake ya pili hatua ya makundi katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika ambapo imepokea kichapo cha mabao… Read More
NA EMMANUEL MBATILOKLABU ya Simba imefanikiwa kuondoka na alama tatu ugenini baada ya kufanikiwa kuichapa Vipers ya nchini Uganda 1-0, na kufanikiwa kushika nafasi ya tatu kwenye kundi akiwa… Read More
Meridianbet mabingwa wa kumwaga odds kubwa wikiendi hii, Ligi mbalimbali zinaendelea n EPL, Bundasliga, Ligue 1 na Serie A unaambiwaje kitaeleweka weka dau kubwa ushinde mkwanja mrefu… Read More
MABINGWA Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara timu ya Yanga imewatoa kimasomaso watanzania baada ya kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya ku… Read More
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya Yanga imeshindwa kuwa mabingwa licha kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya USM Alger kwenye mchezo wa Fainali kombe la Shirikisho mkondo wa pili mara baada ya m… Read More
MJUMBE wa Baraza Kuu ya Jumuiya ya Wanawake Tanzania(UWT) kutoka Mkoa wa Pwani Mariam Ulega amempongeza Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Samia kwa kuweza kutoa hamasa kwa timu za Simba na Y… Read More
Yale mashindano makubwa na maarufu ya mchezo pendwa wa Tenisi yanayojulikana kama Wimbledon hatimaye yameanza kutimua vumbi kuanzia Julai 4 na yatafikia ukingoni Julai 16 mwaka huu. Me… Read More
Mwakilishi wa Kampuni ya Jambo Food Products, Chrispin Kakwaya ambaye ni Mkuu wa Idara ya Michezo Jambo Media (kulia) akikabidhi jezi kwa ajili ya Timu ya Soka ya Wanawake Mwamva FDC Q… Read More
Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania Meridianbet wamekuja na kaulimbiu mpya msimu huu mpya wa soka barani ulaya wa “Meridianbet Mzigo wa Kutosha” ambao unamaanisha kuwa… Read More
Na Samwel Mwanga, Simiyu
MKUU Wa Mkoa wa Simiyu, Dk. Yahaya Nawanda amesema kuwa bingwa wa Michuano ya soka ya Simiyu Super Cup 2023 anatarajia kubeba kitita cha Sh milioni Nne.
Akizindua ma… Read More
Walianza watanzania wachache sana kutamba kwenye soka la ushindani tena nje ya ardhi ya Tanzania. Kuna Sunday Manara na Je ni nani asiyefahamu mapambano ya mtoto wa uswahilini mitaa ya… Read More
Timu ya Kamba wanawake ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakimenyana katika moja ya Michezo yao.
Michuano Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali na Mikoa (SHIMIWI) imezidi kurindim… Read More