Mke wa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Bi.Marina Juma (katikati) akiwaongoza wake wa majaji kwenye matembezi katika kuadhimisha siku ya Nanenane, matembezi ambayo yalianzia nyumbani kwake… Read More
Mahakama Kuu ya nchini KenyaRaila Odinga**RAILA Odinga aliyekuwa mgombea katika nafasi ya Urais Kenya ameahidi leo saa nane kupeleka mapingamizi ya kushinda kwa mpinzani wake Rais Mteule wa… Read More
Gsb Mahakama Ya Mungu Ft. Onesix Download Mp3 Gsb Mahakama Ya Mungu Mp3 Download. The music act, Gsb features Onesix in the song tagged Mahakama [...]
The post Gsb – Mahakama Ya Mungu… Read More
Jaji Mkuu wa Tanzania Prof Ibrahim Juma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama.Na Marco Maduhu, SHINYANGA TUME ya Utumishi ya Mahakama imefanya mkutano na wadau… Read More
Jaji Mkuu wa Tanzania Prof Ibrahimu Juma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama akizungumza kwenye mkutano huo.Na Marco Maduhu, SHINYANGATUME ya Utumishi ya Mahakama yakut… Read More
Na Walter Mguluchuma,Katavi.Mwendesha Boda boda Idrisa Said Bayaga(32) wa Kituo cha waendesha pikipiki cha Nyerere Mtaa wa Kawajense Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi amefikishwa mahakamani… Read More
Mahakama ya Maua, Meru mnamo Novemba 23 2022 iimemhukumu mama wa watoto 5 kifungo cha miaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya jaribio la kumuua mumewe kwa kumkata sehemu zake za siri k… Read More
Mnamo Ijumaa, Disemba 9,2022 kahaba alifikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kumpiga kitutu mwenzake, mbele ya Hakimu Mkuu wa Mombasa.Mariam Issa Mohammed aliyefika mbele ya Hakimu Mkuu Vin… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania
Ripoti ya matokeo ya utafiti unaoitwa ‘Ndoa za utotoni Tanzania’ iliyotolewa Mchi 2, 2017 inasema wasichana wanaoingia katika ndoa mapema p… Read More
Wa kwanza kulia ni Zawadi Msagaja (20), ambaye ni mama wa mtoto na anayefuatia ni dada wa Zawadi**Watu watatu akiwemo mkazi wa Kijiji cha Mahaha wilayani Magu mkoani Mwanza, Zawadi Msagaja (… Read More
Wabunge wawili wa upinzani nchini Senegal, wamehukumiwa kifungo cha miezi sita jela na kulipa faini ya franc 100,000 za CFA (euro 150) kila mmoja sambamba na fidia ya faranga za CFA milioni… Read More
Minza Mayenga (47) mkazi wa Mkoa wa Simiyu ambaye ni mama wa watoto tisa aliyekatwa mapanga na mme wake sehemu za kichwa na mkono Novemba 30,2022 akiwa katika hospitali ya wilaya mji wa… Read More
Hadi kufikia umri wangu wa miaka 47, nimekuja kuamini hakuna kitu kibaya kama migogoro ya ardhi, watu wengi wamepoteza mali zao kama mazao na mifugo kisa migogoro ya ardhi.Jina langu ni Huss… Read More
Jacob Okafyulilo, mwenye umri wa miaka 38, Mbena na Mkazi wa Kijiji cha Itambo wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na kuamriwa kulipa fidia ya shilingi… Read More
Jeshi la Ulinzi nchini Uganda limemkamata pasta na maafisa watatu wa polisi kufuatia kisa cha mwanamke mmoja raia wa kigeni kudaiwa kubakwa na kutapeliwa pesa zake.Kukamatwa kwa mchungaji hu… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Mkude kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga akizungumza wakati akizindua Wiki ya Sheria Mkoa wa Shinyanga leo Jumapili Januari 22,2023Na Marco Maduhu… Read More
Naibu Afisa Uhamiaji Mkoa wa Shinyanga, Mrakibu wa Uhamiaji Lydia Angumbwike (kulia) akielezea huduma zinazotolewa na Jeshi la Uhamiaji wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Sheria Mkoa wa Shinyanga… Read More
Profesa Christopher Kasanga, akiwa na mke wake aliyemuoa kwa siriMahakama ya wilaya ya Morogoro imempandisha kizimbani Profesa Christopher Kasanga wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)… Read More
**************************Katika kuadhimisha wiki ya sheria, Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi imeandaa siku moja ya kutoa elimu na kukutana na wadaawa katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mk… Read More
Samson MasaluSamson Masalu (18) amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza kwa kosa la ubakaji, kwani amekuwa akimbaka msichana mwenye umri wa miaka 17 na kumsababishia ku… Read More
Na John Walter-BabatiWatu wawili wakazi wa Kijiji Endagile kata ya Mamire wilaya ya Babati mkoani Manyara, John Lulu na Zebedayo Safari, wamehukumiwa kifungo Cha miaka 20 jela kwa kosa la ku… Read More
Waziri wa Katiba na Sheria, Mh Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) akipokea machqpisho mbalimbali kutoka kwa Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Rehema Nyagawa wakati alipotembelea banda la Tume Leo Ja… Read More
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga, Athumani Matuma Kilati akizungumza wakati wa Kilele cha madhimisho ya Wiki ya Sheria katika Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano… Read More
Sibtain Murji 43(Kishoto) na Zameen Murji 47 (Kulia) wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kabla ya kusomewa mashtaka matatu likiwemo la kukwepa kodi kiasi cha Sh. Bilioni sita jijin… Read More
*********************NA MWANDISHI WETUMTUME na Nabii Shile Mwasha (Nabii wa Rufaa) wa Huduma ya Ufunuo wa Kristo na Kanisa la Miujiza lililopo Bunju Kilimani jijini Dar es Salaam amesema kuw… Read More
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imetoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi watano ambao wanasoma Shahada ya Uzamili katika fani ya Miliki Ubunifu ya Chuo Kikuu cha Dar es… Read More
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro akiwasilisha taarifa inayohusu Muundo na Majukumu ya Wizara pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Kamati ya Kudumu y… Read More
Watu wanne wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwenda jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kukutwa na vipande tisa vya pembe za ndovu, kinyume cha sheria ya wanyama pori ya mwaka 2005 il… Read More
Mahakama ya hakimu mkazi mfawidhi wilaya ya Lindi imemhukumu Said Mohamed (49) mkazi wa chikonji Lindi, kifungo cha miaka 30 jela sambamba na adhabu ya viboko 6 na kulipa fidia ya shilingi… Read More
Muharami Hassan Nayonga
Mahakama ya wilaya ya Kilwa imemhukumu Muharami Hassan Nayonga, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumkuta na hatia ya kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na… Read More
Bwana Mwifyusi , Moses Chicago pamoja na Robert mtoto wa Mwakipesile ndiyo madalali wakubwa walioshikilia tenda zote hapa mtaani kwetu kuanzia uuzaji wa viwanja mpaka ununuzi wa magari ya k… Read More
Nairobi City Stadium is a multi-purpose stadium in Nairobi, Kenya. It is located east of the city centre. The stadium is owned by the Nairobi City Council.
The st… Read More
Picha haihusiani na habari hapa chini
Na Mwandishi wetu - Tinde
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Mwanandakuna anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 58-60 mkazi wa kitongoji cha Ngaka… Read More
Jonathan Jacob Meijer (41) raia wa Uholanzi amepigwa marufuku kusambaza mbegu zake za kiume baada ya kugundulika kuwa ana watoto zaidi ya 550 duniani kupitia utoaji wa msaada wa mbegu za k… Read More
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato
Msanii wa nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma,mkazi wa kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita,amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au… Read More
Na Mwandishi Wetu ,Dodoma
MBUNGE wa Jimbo la Mkinga (CCM) Dastan Kitandula ameikumbusha Serikali fidia za wananchi Vijiji vya Kwale na Mtimbwani cha kiasi cha zaidi ya Milioni 570 kwa ajil… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma, Lameck Michael Mlacha ameongoza kikao cha Menejimenti katika Kanda hiyo kufanya tathmini ya utendaji kazi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma, Lameck Michael Mlacha ameongoza kikao cha Menejimenti katika Kanda hiyo kufanya tathmini ya utendaji kazi… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
WALIOKUWA wafanyakazi wa kampuni ya Tancoard ambayo kwa sasa inaitwa Sisalana Cordage Factory wameiomba Serikali kuingilia kati suala la notisi ya kuhama… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Uteuzi na Nidhamu ya Madalali na Wasambaza Nyaraka wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wi… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewateua Majaji sita wa Mahakama ya Rufaa.
Amemteua Jaji Zainab Goronya Muruke kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Kabla ya… Read More
Mkaguzi wa usalama wa mifumo ya umeme wa OSHA, Mhandisi Maria Ndaskoy akifanya ukaguzi wa mifumo ya umeme katika jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (IJC) Moro… Read More
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul akifuatilia kwa makini taarifa inayotolewa na Kamishna Msaidizi wa Magereza ACP Nkonge Edwin alipofika gerezani hapo na timu ya wataalam… Read More
Mchungaji mmoja kutoka katika Kaunti ya Embu nchini Kenya amefikishwa mahakamani Jumatatu Juni 5,2023 kwa tuhuma za kumbaka muumini wa kanisa lake.
Pasta Benson Mwaniki Njuki wa Kanisa la… Read More
Image: Twitter Two major tragedies are in the news in Afghanistan in which 24 people were killed when a van plunged into a valley due to the carelessness of the driver, while in another inc… Read More
Na Mwandishi wetu
Mahakama ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida imetoa amri ya zuio la muda kwa kwa kikundi cha Vijana Victory Farmers kusafirisha Mbolea ya Samadi iliyokusa… Read More
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa Uchaguzi… Read More
Mahakama nchini Uganda imemuamuru msimamizi wa WhatsApp wa kundi moja kumrejesha mwanachama aliyemshtaki kwa kumfukuza kwenye kundi hilo.
Mwanaume mwenye hasira kutoka Uganda aliyetambulik… Read More
MAHAKAMA kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemhukumu Idris Mwakabola kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumnyonga Happiness Mbonde, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa… Read More
HABARI: Mahakama ya Mkoa wa Vuga mjini Unguja imemwachia huru mshtakiwa Ramadhan Ali maarufu kama Afande Rama aliyekuwa ...
Instagram
Tue, 07/18/2023 - 18:55 Read More
Na MWANDISHI WETU MALUNDE 1 BLOG
Mkazi wa Mtaa wa Nyasubi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga Mseveni Mchele Derefa amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, viboko 10 na faini ya Shi… Read More
Kwa mujibu wa kifungu cha 39 (1) cha Kanuni ya Adhabu (Penal Code), mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au popote, atakuwa ametenda kosa la uhaini… Read More
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoani Tanga (RTO) Wiliam Mwamasika akizungumza wakati kuelezea mpango kazi wa Usalama barabara kwa Jiji la Tanga unaendeshwa na Shirika la Amend… Read More
Mahakama ya Indonesia imemfunga jela mwanamke mmoja miaka miwili baada ya kupatikana na hatia ya kukiuka sheria za kukufuru za nchi hiyo katika video ya chakula ya TikTok aliyochapisha mwez… Read More
Asilimia kubwa ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), wana uwezo mkubwa wa kuchanganua na kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokabili jamii yetu.
Hayo yamesemwa na Wazi… Read More
Timu ya Kamba wanawake ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakimenyana katika moja ya Michezo yao.
Michuano Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali na Mikoa (SHIMIWI) imezidi kurindim… Read More