Mama mpendwa,ilikuwa siku kama yale leo,miaka minane iliyopita,uliondoka hapa duniani wakati tunakuhitaji sana.Japo miaka minne inaweza kuonekana ni muda mrefu kusahau machungu,kwangu mwanao… Read More
Ilikuwa masaa, siku, wiki, miezi na sasa mwaka. Ni vigumu sana kuamini kuwa baba umeondoka moja kwa moja. Kila siku nakumbuka, lakini kuna kitu kingine kinachonikumbusha kila wiki: makala za… Read More
KATIKA nchi nyingi za huku Magharibi, kila mwanzoni mwa mwaka Idara zao za Usalama wa Taifa huchapisha ripoti inayoelezea kwa kina maeneo yanayoonekana kuwa yanaweza kuwa tishio kwa usalama… Read More
Alexander Litvinenko alitiliwa chai iliowekwa sumu ya Polonium 210 Hakuna jambo jipya kuhusu mauaji ya mtu maarufu. Ni miongoni mwa njia zilizotumika kuwaondoa ulimwenguni watu waliokuwa… Read More
MOJA ya sababu zilizosababisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kifikie hatua ya kuwa chama kikuu cha upinzani ni msimamo mkali ambao chama hicho ulikuwa nao dhidi ya ufisadi.Kadh… Read More
MWAKA 1990 nikiwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora, kuliibuka mgomo mkubwa uliodumu kwa siku kadhaa. Kwangu, mgomo huo ulikuwa ni mtihani mkubwa, kwani sikuwa ‘mwana… Read More
KATIKA hitimisho la makala yangu katika safu hii wiki iliyopita niliahidi kuwaletea uchambuzi kuhusu mivutano ya kugombea madaraka (power struggles) ndani ya chama tawala CCM.Kwa bahati nzur… Read More
Baada ya tukio la Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kuvamia ofisi za Kampuni ya Clouds jijini Dar, Ijumaa usiku, na kuahidiwa na uongozi wa Kampuni hiyo kuwa ungetoa taarifa rasmi jana, watu wengi … Read More
Kuna wanaotusimanga tuliompigia kampeni Rais John Magufuli wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2015. Kwamba sie ndo tumemleta Magufuli. Kwamba bila sie kumnadi, Tanzania isingeshuhudia kipin… Read More
Habari iliyotawala mno jana ni taarifa kutoka Ikulu kuwa Rais John Magufuli amemteua kiongozi wa chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo, kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ki… Read More
Nianze makala hii kwa kutoa salamu za rambirambi kwa familia za askari wanane wa Jeshi letu la Polisi waliouawa kinyama wilayani Kibiti, Mkoani Pwani. Huu ni msiba wa kitaifa, japo haku… Read More
Nick presenting India Gattu Battu missing diamond Ki jasusi contest and you have chance to win many exciting prizes. If you love to play contest and like to see Nick then its best time for y… Read More
Baada ya safari ya muda mrefu iliyodumu takriban miaka 20 sasa, ya uandishi wa makala magazetini, hatimaye nimeamua kutundika daluga (kustaafu)Nilianza rasmi uandishi mwaka 1998, nilipokuwa… Read More
Mama mpendwa,ilikuwa siku kama yale leo,miaka tisa iliyopita,uliondoka hapa duniani wakati tunakuhitaji sana. Japo miaka tisa inaweza kuonekana ni muda mrefu kusahau machungu,kwangu mwanao i… Read More
Kwanza, bila kujali ukada wa CCM au Chadema au kutokuwa kada, ni muhimu kutambua kuwa katika Tanzania yetu ya sasa – na pengine katika nchi nyingi za Dunia ya Tatu – alichofanya… Read More
Katika Tanzania yetu ya zama hizi ambapo takriban kila jambo linaanglaiwa kwa jicho la kisiasa, ni vigumu sio tu kusimamia ukweli bali pia kukwepa lawama kutoka kwa pande mbili kuu za siasa… Read More
Kabla ya kuingia kwa kina kwenye uchambuzi huu, ni muhimu kueleza bayana kwamba japo maana, mbinu na ufanisi wa uchambuzi wa kiintelijensia ('intelligence analysis' kwa kimombo) kati ya mie… Read More
Mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka juzi nilipata ujumbe kutoka kwa watu kadhaa wakinieleza kuwa kwa namna moja au nyingine niliwasaidia kufanya maamuzi ya kumpigia kura aliyekuwa mgombea w… Read More
Pasipo kutarajiwa, jana, Jumatatu ya Oktoba 30, 2017, anga za habari huko nyumbani Tanzania zilitawaliwa na habari moja nzito: mmoja wa wana-CCM maarufu, Mbunge kwa tiketi ya chama hicho taw… Read More
Jana Januari 9, 2018, wiki moja na siku mbili baada ya kuanza kwa mwaka huu mpya, duru za siasa za Tanzania zilitikiswa na habari kuhusu kiongozi maarufu wa Chadema, Waziri Mkuu wa zamani Ed… Read More
This time social media pe Hacking ki line lagi huyi hai.Hamare aspas Hacking k kayi mamle ate hai aur chale jate hai.Kyuki Hacking karna Ek crime hai. Hamari sarkar ne is par pura Ben… Read More
Nianze makala hii kwa kutoa salamu zangu za pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu Daniel John, ambaye hadi alipouawa kinyama alikuwa Katibu wa Chadema kata ya Hananasifu, na… Read More
Nianze makala hii kwa kuwashukuru ndugu nyote mlionitumia salamu za upendo,kunipa pole/kunipa moyo baada ya jina langu kutajwa miongoni mwa watu 9 wanaodaiwa kuwa hatari kwa usalama wa Tanza… Read More
Habari kutoka DW Kiswahili zinasema kuwa Uingereza imetangaza leo kuwa itawafukuza nchini wanadiplomasia 23 wa Urusi na kusitisha mawasiliano ya nagazi ya juu na ikulu ya Kremlin, kuhus… Read More
Urusi inasema hivi karibuni italazimika itawafukuza wanadiplomasia wa Uingereza ili kulipiza kisasi baada ya Waziri Mkuu Theresa May kuwafukuza wanadiplomasia wake 23 siku ya Jumatano.Waziri… Read More
Serikali ya Urusi imetangaza kuwafukuza wanadiplomasia 23 wa Uingereza, hali inayoendelea kuyumbisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili.Wizara ya Mambo ya nje ya Urusi imesema… Read More
Nchi ya Urusi, nayo imetangaza kuwafurusha mamia ya wanadiplomasia wa Marekani na kuagiza kufungwa kwa ofisi za ubalozi mjini Saint Petersburg katika kile kinachoonekana ni kujibu mapigo kut… Read More
Naibu waziri wa mambo ya nje wa Russia Bw. Alexander Grushko amesema hatua ya hivi karibuni ya Marekani na Ulaya ya kuwafukuza wanadiplomasia wa Russia itaathiri usalama wa Ulaya. Bw. G… Read More
Jana ilitolewa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa Rais John Magufuli amemteua "Msalika Robert Makungu kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora." Hata hivyo, kwa makusudi, taarifa haikuelez… Read More
By William Shao Katika toleo lililopita tuliona jinsi CIA ilivyomuona mwanasiasa machachari wa Zanzibar, Abdulrahman Mohamed Babu, kama tishio la usalama wa maslahi yao visiwani Zanzibar na… Read More
Kaka wa kambo wa Kiongozi wa Korea Kaskazini aliuawa baada ya kubainika kuwa ni jasusi wa shirika kuu la kijasusi la Marekani CIA.Kwa mujibu wa gazeti la Wall Street Journal, Kim Jong… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayoub Ryoba (kushoto), akiwa kwenye mazungumzo na Meneja Kiongozi Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Mfukowa Hifadhi ya Jamii kwa… Read More
Taarifa iliyotolewa na mahakama ya kijeshi nchini Iran inasema adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyopewa jasusi wa CIA na Marekani,Jalal Haji Zevar imetekelezwa katika gereza la Recai Shar lil… Read More
Msemaji wa Idara ya Mahakama nchini Iran Bw. Gholam Hossein Esmaili, amesema Mahakama Kuu ya nchi hiyo imemhukumu kifo raia mmoja wa Iran ambaye ni jasusi wa Shirika la Upelelezi la Marekani… Read More
Kuna njia mbalimbali za kufanya uchambuzi wa kiintelijensia, njia zinazotegemea vigezo mbalimbali, kigezo muhimu zaidi kikiwa tukio husika na/au "key players" (kwenye ushushushu tunawaita "s… Read More
#Thread: katika vitu ambavyo namshukuru sana Mungu ni kunijalia uwezo wa kutumia vema akili yangu. Sote tuna akili lakini kinachotutofautisha ni uwezo wa akili husika na jinsi tunavyotumia u… Read More
Kusema hukumu nzito dhidi ya viongozi kadhaa wa Chadema iliyotolewa jana kuwa ni ishara mbaya kwa demokrasia nchini Tanzania ni kutoitendea haki hali ya demokrasia katika nchi yetu. Kilichot… Read More
Imeniwia vigumu sana kuandika makala hii fupi lakini nalazimika kuiandika hivyo hivyo maana kukaa kimya is not an option. Kuna busara moja maarufu inayosema kinachohitajika kwa uovu kushamir… Read More
Ili uielewe vema makala hii ni vema ufanye kulinganisha kinachojiri Tanzania muda huu baada ya kutangazwa kuingia kwa Coronavirus na kinachojiri katika nchi jirani ambazo pia zimekumbwa na j… Read More
Huenda kuna watakaosema wakati huu ambapo nchi na dunia ipo kwenye kipindi kigumu kutokana na janga la krona, si muda mwafaka wa kutupiana lawama. Lakini vipi kama lawama hizo zinaweza kusai… Read More
Let us not forget Oman, there is a large number of Swahili language speaker in Oman.
Actually, there is a saying (If you want to learn Classic pure Swahili language, then learn it from Swah… Read More
Pengine umeshawahi kusikia jina la Profesa Allan Lichtman wa Marekani ambaye ana rekodi ya miaka 30 ya kutabiri kwa usahihi kabisa matokeo ya urais katika nchi hiyo. Pengine utabiri uli… Read More
Test Your IQ | Hindi Paheliyan
Subscribe unRiddle to get detective riddle in Hindi , Majedar paheliyan , paheliyan in Hindi , jasoosi paheliyan , jasusi paheliyan , jasoosi paheli in Hindi… Read More
Paheliyan Riddles General Knowledge
Interesting Cloak Danya | Gk in Urdu | Funny question | Brain Teaser IQ Questions | Hindi Paheli | Major Jasusi New Initiative 2020 | Gk quiz
Urdu online… Read More
Islamic General Knowledge Urdu Quiz
Is video main dye gae question and answers niche mulahizah kijiye :
1: Nabi ko Nabi Kyon kahate Hain?
2: Nabi kise kahate Hain?
3: rasool kise kahate Hai… Read More
Common Sense Questions | General Knowledge
Tik Tok Funny Questions | GK in Urdu | Dilchasp Maloomat ki Dunya | Brain Teasers IQ Test Questions | Majedar Jasusi new paheliyan 2020 | Bujho to… Read More
Blackmail Odia Song Lyrics-Hae to premara rangoliVideo of Blackmail Odia Film SongBlackmail Odia film song 'Hae to premara rangoli' Lyrics from movie Blackmail, sung by Udit Narayan and Dipt… Read More
20 Interesting and Important GK question | GK | Enigmatic Facts | Riddles | Enigma | Samanya Gyan |Please susbcribe, Like & ShareSubscribe to My ChannelsThe Social Pi: https://youtube.co… Read More
Tukio: Mauaji ya askari polisi watatu na mlinzi mmoja wa kampuni binafsi ya ulinziLini: 25 Agosti 2021Mahali: Jirani na Ubalozi wa Ufaransa, Barabara ya Ali Hassan Mwinyi, Dar es Salaam, Tan… Read More
New Delhi. Bollywood Horror Movie List: Nowadays, the trend of horror films is speaking over the heads of cinema lovers. In view of the increasing choice of the audience, Bollywood filmma… Read More
Watu wengi wanafahamu faida ya mazoezi ya viungo, na sehemu ambayo watu wengi hupendelea kwenda kufanya amzoezi hayo ni kwenye gym.Kama ilivyo kwa viungo, ubongo nao unahitaji mazoezi. Na ku… Read More
20 World's Most Difficult and Famous Riddles In Urdu & Hindi | General Knowledge QuizAsslam O Alaikum Dosto Aj K Is Blog Main Hum Ap K Sath 20 Most Difficult Riddles In Urd Hindi S… Read More