Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

wanadiplomasia wa Kinyarwanda watimuliwa Afrika ya Kusini


Afrika ya Kusini imewaondoa wanadiplomasia watatu raia wa Rwanda ikiwahusisha na shambulizi dhdidi ya makazi ya kiongozi wa zamani wa Rwanda Kayumba Nyamwasa.
Taarifa zinabainisha kuwa Rwanda nayo imeamuru kuondolewa kwa wajumbe sita wa Afrika ya kusini .
Hatua hizo zinakuja baada ya watu wenye silaha kushambulia makazi ya Kayumba Nyamwasa aliyewahi kushika wadhifa wa juu katika serikali ya Rwanda.
Hata hivyo wakati shambulizi hilo mkosoajii wa raisi Kagame Kayumba Nyamwasa hakuwepo nyumbani.
Generali Nyamwasa ameponea chupuchupu majaribio mawili ya kumuua ambapo mnamo mwaka 2010 alipigwa risasi na kujeruhiwa tukio ambalo Rwanda ilikanusha kuhusika



This post first appeared on Mchambuzi@habari Online, please read the originial post: here

Share the post

wanadiplomasia wa Kinyarwanda watimuliwa Afrika ya Kusini

×

Subscribe to Mchambuzi@habari Online

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×