Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Arsenal yaelekea Wembley


Magoli manne yametosha kuipeleka Arsenal nusu fainali ya FA itakayochezewa katika uwanja wa Wembley. Ikiwa inacheza na Everton mchezo ulionekana kuwa mgumu kwa Arsenal katika Kipindi Cha Kwanza, japo mambo yalibadilika kipindi cha pili baada ya Rosicky na Giroud  kuchukua nafasi za Chamberlain na Sanogo. Arsenal ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa Ozil kabla ya Lukaku kusawazisha katika kipindi cha kwanza. Dakika ya 70 Arsenal ilipata bao la pili kupitia kwa Arteta kwa mkwaju wa Penalt.
Dakika 10 za mwisho Giroud alipachika wavuni magoli 2 na mechi ikaisha ubao ukisomeka 4 - 1.

Kwa habari zaidi tembelea:-
www.uwanjawamichezo.blogspot.com



This post first appeared on Mchambuzi@habari Online, please read the originial post: here

Share the post

Arsenal yaelekea Wembley

×

Subscribe to Mchambuzi@habari Online

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×