Swali: Maandiko yanatuonyesha Tera, Baba Yake Abramu aliishi jumla ya miaka 205 (Mwanzo 11:32) na tena yanaonyesha kuwa Tera alimzaa Abramu akiwa na miaka 70 (Mwanzo 11:26), na ukirudi kwenye Mwanzo 12:4 biblia inatuonyesha tena Abramu alitoka nchi ya Harani alipofikisha miaka 75. Sasa ukipiga mahesabu vizuri utaona miaka aliyoishi Tera baba yake Abramu isingepaswa Read More
Related Articles
The post Je Abramu aliondoka Harani kabla ya baada ya kifo cha baba yake?. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.