Abigaili. Huu ni mwendelezo wa mafundisho maalumu yahusuyo wanawake. Na Leo tutaisikia sauti ya Mungu iliyokuwa nyuma maisha ya huyu mama aliyeitwa Abigaili. Abigaili ni mwanamke aliyeolewa na mwanaume ambaye halikuwa chaguo la Mungu kwake, ijapokuwa mwanaume huyo alikuwa tajiri, hatujui ni nini kilimsukuma Abigaili katika ujana wake kukubali kuolewa na mwanaume yule, labda pengine Read More
The post Mwanamke Abigaili Anafunzo GANI KWA WANAWAKE? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.