Je ni kweli Yesu peke yake ndiye Aliyepaa Mbinguni, na Eliya hakupaa wala Henoko? Kulingana na Yohana 3:13? Jibu: Tusome, Yohana 3:13 “Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu” Mstari huu lengo lake si kutoa taarifa za waliopaa mbinguni au ambao hawajapaa!, tukiusoma kwa lengo hilo basi ni Read More
The post Je ni kweli hakuna Aliyepaa Mbinguni Zaidi ya Mwana wa Adamu? (Yohana 3:13) appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.