Jibu: Katika biblia hakuna mahali popote panapoonyesha Marehemu waliombewa..isipokuwa katika sehemu moja tu inaonyesha Marehemu mmoja aliyekuwepo katika mateso ya kuzimu aliomba ndugu zake walio hai wakahubiriwe injili ili wasifike katika dhambi na kwenda kule aliko, lakini tunaona maombi yake hayo hayakuwa na matokeo yoyote.Hebu tuisome hiyo habari.. Luka 16:27 “Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume Read More
The post Kwanini Maombi Kwa Marehemu si sahihi kibiblia? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.