Swali: Je ni kweli Bwana Yesu mwenyewe na wanafunzi wake walikuwa hanawi mikono kabla ya kula?..kulingana na Mathayo 15:2, na Luka 11:37 Jibu: Turejee, Mathayo 15:1 “Ndipo Mafarisayo na waandishi toka Yerusalemu walipomwendea Yesu wakisema 2 Mbona wanafunzi wako huyahalifu mapokeo ya wazee, kwa maana Hawanawi Mikono walapo chakula” Tusome tena, Luka 11:37.. Luka 11:37 Read More
The post Je ni kweli wanafunzi wa Yesu Walikuwa Hawanawi mikono? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.