Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Biblia inatuambia Yesu ndiye Njia na kweli na uzima. (Yohana 14:6) Ni kweli wakristo wengi tunamtambua yeye kama njia, lakini hatujui tabia ya hii njia kwa undani jinsi ilivyo kwetu sisi wakristo. Tofauti na hizi njia tuzijuazo, kwamfano ukitaka kutoka Daresalaam kwenda Morogoro, ni rahisi kuifuata hiyo Read More
The post TABIA ZA NJIA YA Mungu Kwa Mkristo appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.