Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Ni kosa gani alilolifanya Eli, ilihali aliwaonya watoto wake?

SWALI: Kwanini Mungu alimuadhibu Eli kwa kosa la kutowaonya watoto wake, angali tunasoma katika maandiko aliwaonya hapo kabla? Tusome; 1Samweli 2:22 Basi Eli alikuwa mzee sana; naye alisikia habari za mambo yote ambayo wanawe waliwatenda Waisraeli; na jinsi walivyolala na wanawake waliokuwa wakitumika mlangoni pa hema ya kukutania.  23 Akawaambia, Mbona mnatenda mambo kama hayo? Read More

The post Ni kosa gani alilolifanya Eli, Ilihali Aliwaonya Watoto wake? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.



This post first appeared on Cloud Of Witnesses, please read the originial post: here

Share the post

Ni kosa gani alilolifanya Eli, ilihali aliwaonya watoto wake?

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×