SWALI: Mstari huu una maana gani? Mithali 27:10 “Usimwache Rafiki Yako Mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali” JIBU: Ni mstari unaolenga umuhimu wa marafiki wema katika maisha yetu. Hapo anaanza kwa kusema usimwache rafiki yako mwenyewe, lakini Read More
The post Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.