Na John Mapepele
Wakaazi wa Hifadhi ya Ngorongoro ambao ni kaya 11 na wananchi 43 pamoja na mifugo 36 walioamua kuhama kwa hiari kupisha uhifadhi leo tarehe 19 Oktoba, 2023 wamempongeza n… Read More
Na Samwel Mwanga,Simiyu
JESHI la polisi Mkoa wa Simiyu limefanikiwa kukamata watu watatu kwa tuhuma ya kukutwa na Nyara za serikalI ambazo ni wanyamapori Swala wapatao 28 aina ya Thomson wak… Read More
Jibu: Turejee. Walawi 11:29 “Tena katika vitu vile vitambaavyo, vitambaavyo juu ya nchi, hivi ni najisi kwenu; kicheche, na panya, na mjombakaka, kwa aina zake, 30 na GURUGURU na… Read More
Watu wanne wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwenda jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kukutwa na vipande tisa vya pembe za ndovu, kinyume cha sheria ya wanyama pori ya mwaka 2005 il… Read More
Na Renatha Kipaka, Bukoba
Wananchi katika Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Marburg kwa kutumia njia za asili kuwafukuza wanyama pori ambao… Read More
Afisa Maadili Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kanda ya Kaskazini – Arusha Bw. Baraka Mgimba akitoa mada kuhusu Uadilifu katika mafunzo kwa viongozi na watumishi wa umma kut… Read More
Na Oliver Oswald, Mtanzania Digital
Raia wa Ethiopia wametajwa kuongoza kwa idadi kubwa ya wahamiaji haramu nchini wanaoingia kwa njia zisizo halali (njia za panya).
Akizungumza na Mta… Read More
Mkurugenzi Msaidizi anayesimamia masuala la Udhibiti Ubora wa Mazao ya Uvuvi na Masoko, kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Bw. Steven Lukanga akizungumza katika mafunzo ya kuwaje… Read More
Na Jacob Kasiri -Ruaha.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb) amewataka wananchi wote waliovamia bonde la Ihefu ambalo ni chanzo cha mto Ru… Read More
BAADHI ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), wakiwa katika hifadhi ya Ruaha iliyopo mkoani Iringa baada ya kutembelea na kujionea u… Read More
Wakulima wakiuza pamba yao kwenye kituo cha ununuzi AmcosPamba safi ikiwa kwenye kituo cha pamba ununuzi kwaajili ya kununuliwaMwandishi wa Makala haya Daniel Limbe akishuhudia ubora wa pamb… Read More
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mhandisi Johaness Maganga (katikati) akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani (World Food Safety Day) yali… Read More
Kupata mwenza unayemtaka sio jambo jepesi hata kidogo wanyama wengi hupoteza uhai pale tu wanapokutana na wale wawapendao na wa muhimu kwao.Mambo ya kustaajabisha kuhusu wanyama ,tumeangalia… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza katika kikao na viongozi wa mkoa wa Mara kuhusiana na utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi katika vijiji 975… Read More
AFISA Mazingira Mkoa wa Simiyu Juma Kazula (mwenye tisheti ya kijani) akitoa elimu ya namna ya kuondoa kiriba kabla ya kupanda mti mbele ya wanafunzi wa sekondari Lubiga iliyopo wilayani Mea… Read More
Hizi ni ripoti kutokea Maharashtra, nchini India, ambapo kundi la tumbili limelipiza kisasi kwa kuwaua mbwa wapatao 250, baada ya kukasirishwa na kitendo cha mbwa kumuua kichanga chao.Mashuh… Read More
Ni ndege pekee nayaejulikana kuwa na maumbile ya kitu kinachofanana na pembe katika kichwa chake .Kwa jina la kiingereza huitwa na Horned screamer.Katika kipindi cha maisha yao, ndege hao hu… Read More
Baadhi ya watalii kutoka Israel wakipita kuangalia kikundi cha utamaduni kutoka kabila la Wamasai katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kabla ya kuondoka kurejea Israel Ba… Read More
NA TIGANYA VINCENTMAMLAKA ya ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania(TAWA) Kanda ya Magharibi imefanikiwa kukamata bunduki za aina mbalimbali 24 na meno ya tembo manne yenye uzito kilo 21.2 kat… Read More
Hiki ni choo cha muda kwa ajili ya wavulana wa shuleni EndeshMaandalizi ya kujenga vyoo vya kudumu yakiwa yanaendelea shuleni EndeshNa Abby Nkungu, SingidaWATAALAMU wa ujenzi wa majengo kati… Read More